thalostchild
Member
- Apr 16, 2015
- 79
- 23
Dawa.. Ni kukapture hizo pic zakeAkiniambia anaishi kigamboni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa.. Ni kukapture hizo pic zakeAkiniambia anaishi kigamboni
Pole sanaKuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
#42, 44 na 47 zahusika, alinambia kuwa anakaa kigamboni, na nauli niatuma, nimekaa nasubiria kwa picha za kuonjeshwa utamu, kumbe nieliwa bila kula ha ha haaaaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dawa.. Ni kukapture hizo pic zake
Ni kweli kabisa ila ukishawajulia inakuwa namna hiiKweli wanawake wanawala wanaume kipumbavu sana
Kweli kabisa! Yaani kuna mkaka nilikutana nae badoo enzi hizo hadi leo tuna urafiki mzuri... Amekua zaidi ya ndugu.Ila kua wengine ni wastaarabu sana badoo, hadi kuchat nao tu unajiskia raha. Hawachoshi, hawaboi na hawana ujinga wa kutangaza njaa
Itakuwa mimi huyo, hunijui tuKweli kabisa! Yaani kuna mkaka nilikutana nae badoo enzi hizo hadi leo tuna urafiki mzuri... Amekua zaidi ya ndugu.
Hapana, nachati nae ata saivi mkuu! Hana account JFItakuwa mimi huyo, hunijui tu
Anatumia jina gani badooHapana, nachati nae ata saivi mkuu! Hana account JF
Hana account humu mkuu!Anatumia jina gani badoo
Nilitaka kujua account yake badoo, jina analotumiaHana account humu mkuu!
Ooh! Ata sikumbuki... Nimefahamiana nae 2013 huko... Ndo mwaka nilikua badooNilitaka kujua account yake badoo, jina analotumia
Jakitoo, nimepokea pole yak ila kwavile badoo wamezingua inabidi nijufate wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] poleni wote
Nami naomba undugu. Ni mtu safi sanaKweli kabisa! Yaani kuna mkaka nilikutana nae badoo enzi hizo hadi leo tuna urafiki mzuri... Amekua zaidi ya ndugu.
Huyo wa kwanza mbona yupo Facebook na anafanya kazi salon tuu
Undugu hautafutwi bana!!!Nami naomba undugu. Ni mtu safi sana