Niliwasiliana nae muda mrefu hadi tukawa marafiki,yeye alikuwa A cty then akaja Dar by the way nilimpa ile hela kama kumsaidia rafiki mwenye shida kumbe mwenzangu ana malengo yakeulivyokuwa wapga alikuwa anasema yupo karbu na wewe au
Ila wewe mkuu wa ajabu, unaliwa hujifunzi tu?
Hivi huwa mmelogwa mkuu? Hahaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha haaaaa, ngoja nikamuonyeshe mwafulani, afu wanapenda kwenda saloon haoooo, utadhani wanalala kwenye karakana. Kuna jamaa yangu alinisumbua nimkope 50 elfu aongezee kumleta mwanadada kutoka Mwanza kuja Dar, zilimtoka 250,000/=
Mwisho wa hadithi simu ikawa haipatikani aliporudi kwenye mtandao picha zimebadilishwa na sura nyingine. Alibaki hoi.
OOOhhhh! nitumie 50 elfu niingie saloon, kesho naanza safari, nitumie 70 elfu za nauli, kuna mafuta yangu huwa natumia sehemu za joto nitumie 25 elfu kudadadeki. kuja kushtuka 250,000/=.
Mkuu hizo zinaweza hata zisiwe picha zao mkuu
Kweli wanawake wanawala wanaume kipumbavu sanaKuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
Ni picha zao, wote hao nishachat nao whatsapp na namba.Mkuu hizo zinaweza hata zisiwe picha zao mkuu
SawaYaani mademu wanaojielewa wako mtaani !
Unafuata malaya badoo? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wacha tuu muibiwe?
Polee sana mkuuSawa
Haaa haa hhaa huyo juu anaitwa Monica.. Alinikosa kunilia pesa zang
Daah! Alikwambia anakaa wapi? Ila mi niliona picha yake moja ya K na nyingine naked akiwa na KYHaaa haa hhaa huyo juu anaitwa Monica.. Alinikosa kunilia pesa zang
Akiniambia anaishi kigamboniDaah! Alikwambia anakaa wapi? Ila mi niliona picha yake moja ya K na nyingine naked akiwa na KY
Ha ha haa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio gia yake hiyo aliyonitapeliAkiniambia anaishi kigamboni