Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

ulivyokuwa wapga alikuwa anasema yupo karbu na wewe au
Niliwasiliana nae muda mrefu hadi tukawa marafiki,yeye alikuwa A cty then akaja Dar by the way nilimpa ile hela kama kumsaidia rafiki mwenye shida kumbe mwenzangu ana malengo yake
 
Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
 
Hivi huwa mmelogwa mkuu? Hahaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mmoja aliniambia nimtumie pesa ya tax na nichukue chumba kabisa nimwambie aje guest gani na chumba namba ngapi, ile kutuma elfu ishirini tu akani sms kuwa hataweza kuja kwani yupo kwenye siku zake siku ya pili leo!
Kweli wanawake wanawala wanaume kipumbavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…