Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Whoooo-houuhhh...[emoji564]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehehe dunia kwishaAkhsante, pamoja na hayo Badoo bado kuna raha zake![]()
DuhhJioni ya leo na mimi nakwenda kuosha rungu kutokana na 'neema za Badoo' mniombee![]()
HahahahaBiashara nyingine hii
![]()
![]()
Eti anafanya kazi Zantel, wakati inaonesha hapo anauza Goti[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha nmecheka sn kila nkisoma izi post kaaPale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa![]()
[emoji23]Biashara zinaendelea![]()
Polen nyote mlioumizwa[emoji23][emoji23][emoji23]Wa badoo wameniliza sana
Bora hata ningekuwa nakuhonga weye[emoji31] [emoji31]Polen nyote mlioumizwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] mie sitaki za kuhongwa hua naogopaga snaBora hata ningekuwa nakuhonga weye[emoji31] [emoji31]
Kuna wakati nyuchi zinapatikana ki dizaini ila ndiyo hivyo tena.Inaonesha uo mtandao ni wa kuliana pesa tu hahaha
[emoji23]Hahaha bora nisiujue uo mtandao mana unaonekana wengi wao wamebobeaKuna wakati nyuchi zinapatikana ki dizaini ila ndiyo hivyo tena.
Just a friend tuHahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] mie sitaki za kuhongwa hua naogopaga sna
Hahahaha nmecheka sn kila nkisoma izi post kaa
Usije kunileta jf ukaja kunidai hahaha staki kabisaa ,ntapotea hadi jfJust a friend tu
Hahahaha unawapenda eeeNimecheka kwa nguvu baada ya kusoma meseji ya Mpemba.