Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Hehehehe dunia kwishaAkhsante, pamoja na hayo Badoo bado kuna raha zake
DuhhJioni ya leo na mimi nakwenda kuosha rungu kutokana na 'neema za Badoo' mniombee
HahahahaBiashara nyingine hii
Eti anafanya kazi Zantel, wakati inaonesha hapo anauza Goti[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaha nmecheka sn kila nkisoma izi post kaaPale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa
[emoji23]Biashara zinaendelea
Polen nyote mlioumizwa[emoji23][emoji23][emoji23]Wa badoo wameniliza sana
Bora hata ningekuwa nakuhonga weye[emoji31] [emoji31]Polen nyote mlioumizwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] mie sitaki za kuhongwa hua naogopaga snaBora hata ningekuwa nakuhonga weye[emoji31] [emoji31]
Kuna wakati nyuchi zinapatikana ki dizaini ila ndiyo hivyo tena.Inaonesha uo mtandao ni wa kuliana pesa tu hahaha
[emoji23]Hahaha bora nisiujue uo mtandao mana unaonekana wengi wao wamebobeaKuna wakati nyuchi zinapatikana ki dizaini ila ndiyo hivyo tena.
Just a friend tuHahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] mie sitaki za kuhongwa hua naogopaga sna
Hahahaha nmecheka sn kila nkisoma izi post kaa
Usije kunileta jf ukaja kunidai hahaha staki kabisaa ,ntapotea hadi jfJust a friend tu
Hahahaha unawapenda eeeNimecheka kwa nguvu baada ya kusoma meseji ya Mpemba.