Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Yaani elfu Kumi tu ndio walia lia hivyo?
 
Yaani elfu Kumi tu ndio walia lia hivyo?

Hahahhaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Dah Jamaa kachafukwa ile mbaya[emoji13]

Sasa anatumia zaid ya buku 10 kumchafua kisa kaliwa buku 10!

Tatizo linakuja kwamba kama demu ni tapeli huenda hata hio picha sio ya huyo demu so she has nothing to loose, jamaa atajikuta anafanya kazi ya kumnyatia kiziwi[emoji3][emoji855][emoji23]
 
Mkuu lengo si ilikuwa ni kuonana nae tu! Je kama akija sahv muonane hutamchafua?

Swali zuri sana... mbona picha zake zinavutia tu bila hata ya yeye!!! Ila naamini anaweza kuwa wakiume huyo sio kwa picha na uzuri huo awe huko badiu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…