xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Sasa mwanangu kaka una laki mbili kwa huyu una mpa laki unusu na hyo nusu unatumia kulala,,usilalamike bazeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh hukomi tuu kamanda..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mwanangu kaka una laki mbili kwa huyu una mpa laki unusu na hyo nusu unatumia kulala,,usilalamike bazeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh hukomi tuu kamanda..
YupiTeh teh teh uyo noma na simu anazima kabisa
itakuwa kishakuliza Mkuu😀😀😀😀😀😀Muepukeni huyo jambazi la kike na tapeli balaa ukikaa vibaya unaibiwa Simu
Siibiwi kijinga jinga babuitakuwa kishakuliza Mkuu😀😀😀😀😀😀
Yaani elfu Kumi tu ndio walia lia hivyo?![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Yaani elfu Kumi tu ndio walia lia hivyo?
Wewe njoo private yangu pls hakuna matangazo.... nahitaji sana Mawasiliano yakoMhh nshaanza kuogopa nsije kupostiwa kama badoo apa[emoji23][emoji23][emoji23]hahaha nakaa mbali
Ukikua utaachaKoh koh koh koh ko ptyuuu
***************************
Mzungu wangu hana shidaaa
Hata simuombi yeye mwenyewe anajua majukumu yake as a man
Msimu wa sikukuu huu zamaaaani muamala ushasomaa
He's a responsible man ever seen before
cc: Smart911
Habybu AllyMbali ya yote licha ya kuliwa hela, najua tumeliwa sana lakini Badoo ni kuzuri kujifariji
Sjakuelewa mkuuWewe njoo private yangu pls hakuna matangazo.... nahitaji sana Mawasiliano yako
hahahahah pole sanaJapo umenikombea visenti lakini bado nakupenda tu.![]()
Hii kazi ilinambia inakaa kiwalaniAkhsante, pamoja na hayo Badoo bado kuna raha zake![]()
Folen Broo,, endelea kumsubiriWakuu mi nimetuma 15000 nauli mpaka leo wiki ya pili bado namsubiri afike na cm yake haipatikani ila mungu anamuona....
Hivi badoo kuna sehemu ya kumsearch mtu? Nielekezemahondaw muda wote yupo badoo.. Search mtamkuta hana nona
Mkuu lengo si ilikuwa ni kuonana nae tu! Je kama akija sahv muonane hutamchafua?