Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Wengi mnaoliwa pesa zenu ni washamba. Hakuna mtu anayetapeli kwa kutumia picha yake mwenyewe, hata kujiuza mtu hajiuzi hovyo hovyo. Matapeli huchukua picha za watu kutoka facebook, instagram na kwingineko halafu wanajifanya ndio wao. Kuna mpaka kina serena williams ana jina la kibongo! Acheni kuzileta hapa hizo picha ikiwa uliishia kutuma pesa tu na hukukutana laivu na mwenye picha. Mnachafua watu bure.
Nikweli mkuu
 
FB_IMG_1491166521536.jpg
 
Kama unajifunza kuishi kutapeliwa hakuko mbali ni mtaa wa jirani tu hapo. Asiyejua ya kuwa mwanamke akishirikishwa kwenye jambo lolote liwe rahisi au gumu hufanikisha ni kiumbe anayeamimika akishajipanga vizuri kutenda. Ndiyo maana hata wapelelezi huwatumia sana kufanikisha kazi zao
 
i met a man at badoo...2015 mwanzoni..haukua mtandao ulioshamiri umalaya kama sasa.
tulifahamiana ila mi mtt wa kike kwa kudengua na mapozi hadi nakera..nliunstall hiyo app but still mkaka ananitafuta tu plz j tuonane niwe rafiki ako...nkamzungusha wee baada ya miezi akaniambia mi naondoka naenda abroad kusoma.alupofika huko tukaendelea kuwasiliana akafunguka tuanzishe relationship.tukawa in distance relatipnship mwaka mzima..mwenyewe baadae akazingua.
but nlimpenda na alinipenda mno..ni mtu aliekua ananielewa sana.
hakuna namna tena.
Kwanini umeamua kuniliza wivu hili lakini aggie??
 
Samahanini wakubwa kama tuwaudhi,

Niko busy Badoo kutafuta michepuko kwa wiki sasa. Lengo langu ni kupata mmama mwenye dark skin lakini leo hii nimeamua kujiondoa baada ya kukosa kabisa mwenye rangi hiyo. Je hivi ni kweli huko badoo kuna wadada weupe tu wasio hata na chunusi hata moja usoni au nimimekapu tu ndiyo inanichanganya?
 
Samahaneni wakubwa kama tawaudhi, niko busy Badoo kutafuta michepuko kwa wiki sasa. Lengo langu ni kupata mmama mwenye dark skin lakini leo hii nimeamua kujiondoa baada ya kukosa kabisa mwenye rangi hiyo. Je hivi ni kweli huko badoo kuna wadada weupe tu wasio hata na chunusi hata moja usoni au nimimekapu tu ndiyo inanichanganya?
fanyeni kazi jamani hii nayo ni habari?
 
hahahahaha! ati! fanyeni kazi hahahaaha sasa si ungemuendea pm kuja kwako hapa kumedhihilisha kwamba hata wewe hufanyi kazi huhuhuhu!!!!!
 
Hao ni indigenous species na ukiwaona uwapeleke makumbusho ya taifa watakako pata ulinzi na uangalizi.
Inamaana hata wewe pia imeshindwa kujitokeza kuwakomboa wanawake wenzako? Au wewe ni white in nature?
 
Back
Top Bottom