Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Unapataje demu?mi nimejiunga lakini sijui jinsi ya kuwapata.halafu kuna kulipia lakini kwa Ksh
Mbona rahisi tu mkuu, jiunge, andika jinsia ya watu unaowataka na miaka yao kwa uwiano,mfano kuanzia 18 hadi unayotaka mwenyewe, ruhusu huo mtandao usome eneo ulilopo ili ukuletee warembo walio karibu na wewe.

NJia ya kwanza rahisi ni kulike kila picha ya mrembo aliekuvutia, akilike back mnaweza chat na mkahamia kwenye whatsapp na meseji za kawaida baada ya kubadilishana namba za simu.

NJia ya pili unalipia kiasi flani kwa muda flani hapo unapewa haki ya kumtumia meseji yeyote unaemtaka, akijib mkachat mkakubaliana mnatoka kwenye mtandao mnahamia kitandani.
 
naendaje huko??? nikajionee
 
Una bifu na Wema,Lulu na Regina Mtungi?
 
Ivi Dar kuna nini maana mitandao yote kila dem yuko Dar...
Ndiko nyapu iliko nadhamani, huko kwenu si mnahonga sukari tu nusu kilo tayari umepata nyapu, au kwenda kumsaidia kulima shambani.
 
Kweli haya mambo ya social media sio sana coz hata kwenye cm yangu nina jf na watsaap tu hata fb sina,
 
eti eeee nami nimesikia habari zake kuhusu BADOO lakini sijajua wanajihusisha na nini hasa? niliuliza wadau hapa jukwaani sikujibiwa, mademu hao wanajiuza kivipi?
 
eti eeee nami nimesikia habari zake kuhusu BADOO lakini sijajua wanajihusisha na nini hasa? niliuliza wadau hapa jukwaani sikujibiwa, mademu hao wanajiuza kivipi?
Kule kambale take away bei cheee.... Lakini by the look of things, hapakufai
 
Badoo was created for a good cause, however most of Tanzanians' are using it to satisfy their sexual agenda.
 
Inategemeana na ww unavobehave huko badoo coz kila unaechat nae unaona mahali alipo so tamaa zako ndio zitakuua
 
badoo ni sehemu mbadala ya machangu kujiuza.si mnawakamata sana siku hizi ?
 
Hivi mnapozungumzia mtandao wa badoo mbona mnawataja wanawake tu ina maana hawa wanawake wanafanya ngono peke yao hebu jaribuni kuwaheshimu wanawake jamani pia m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…