Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
[emoji122] [emoji120]Insha'Allah shukran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji122] [emoji120]Insha'Allah shukran
Duuuuh...ujana mtamu Sana.. kuna wazee wanadmdire hivi vitu [emoji23]Upo vizur
Price zao zinafanana au wana regulatory authority.[emoji2] [emoji1] [emoji1]
Jua hata hawa Vijana wa sasa nao pia watakuwa admirers na vitu vijavyoDuuuuh...ujana mtamu Sana.. kuna wazee wanadmdire hivi vitu [emoji23]
Usisahau pind unapotaka kuwatafuna baba wee Sachi mikoba yao kabisaHonestly Badoo nimewatafuna mademu wawili, japo nilishaonana na mademu zaidi ya kumi wa badoo ila nmebahatika kuwakaza wawili tu! Mademu wa badoo wanapenda sana pesa na maisha ya juu wengne watakuuliza unaishi wapi ili wajue kama unachunika wakuchune haswa! Hao wawili niliowatafuna sikutumia hata pesa ni maneno tu hao wengne walikuwa wanataka pesa ndefu, ila ni mademu wakali sana tu mpk leo namba zao ninazo naangaliaga tu Dp zao nauchuna! Currently niko bize but nikiwa free tena ntawatafuna kama kawa...
Usipokuwa Makini Badoo, utaishia kutoa msaada wa pesa na Papuchi hauli, ubahili wangu unanisaidia sana.!
Kwani ni mkeo? Me nammendea au harakati zako kumbania?Tafadhali sana muheshimu huyo
Usisahau pind unapotaka kuwatafuna baba wee Sachi mikoba yao kabisa
Taratibu utanielewa tu ngoj nikuitie mtu aje afafanue zaid cc BAK unahitajika huku utoe somoKwanin mkuu?
Nyuchi wazi wazi!![]()
Moja ya mitego tunayokumbana nayo badoo[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Karibu ulimwengu wetu ila tumeshatoa angalizo.Ngoja namimi nijiunge badoo niwatafune.
Mimi nmepiga Juzi mmoja morogoro ...............hata Seti sijatoa.....aliingia kichwa kichwa.Mademu wa kule mikwara mingi ila wana njaa Kali mie nimekwishawafododoa wengi tu mpk nikadelete na app yenyewe
Mimi nmepiga Juzi mmoja morogoro ...............hata Seti sijatoa.....aliingia kichwa kichwa.
AiseeeTaratibu utanielewa tu ngoj nikuitie mtu aje afafanue zaid cc BAK unahitajika huku utoe somo
Nilimwambia alipo ndipo nilipo hivyo atoke nje nimpe, nikayakoga matusi ya kutosha maana ndoano imerudi na mchanga.Mkuu ulituma hiyo twenty
Nilimwambia alipo ndipo nilipo hivyo atoke nje nimpe, nikayakoga matusi ya kutosha maana ndoano imerudi na mchanga.
Ya Salama Jabir bashiteIyo bado Ni application au ile nyimbo ya daimond?
Sasa kama hutaki mumtumia meseji utamnasa vp? Lazima uchane kwanza ndio umnaseAnaejua jins ya kunasa demu mapema kule badoo..please aje inbox?? Naona kuna mambo ya kulipia tena cjui kumtumia demu meseji