Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Honestly Badoo nimewatafuna mademu wawili, japo nilishaonana na mademu zaidi ya kumi wa badoo ila nmebahatika kuwakaza wawili tu! Mademu wa badoo wanapenda sana pesa na maisha ya juu wengne watakuuliza unaishi wapi ili wajue kama unachunika wakuchune haswa! Hao wawili niliowatafuna sikutumia hata pesa ni maneno tu hao wengne walikuwa wanataka pesa ndefu, ila ni mademu wakali sana tu mpk leo namba zao ninazo naangaliaga tu Dp zao nauchuna! Currently niko bize but nikiwa free tena ntawatafuna kama kawa...
Usipokuwa Makini Badoo, utaishia kutoa msaada wa pesa na Papuchi hauli, ubahili wangu unanisaidia sana.!
 
Usisahau pind unapotaka kuwatafuna baba wee Sachi mikoba yao kabisa
 
Anaejua jins ya kunasa demu mapema kule badoo..please aje inbox?? Naona kuna mambo ya kulipia tena cjui kumtumia demu meseji
Sasa kama hutaki mumtumia meseji utamnasa vp? Lazima uchane kwanza ndio umnase
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…