Nipo abroad piai met a man at badoo...2015 mwanzoni..haukua mtandao ulioshamiri umalaya kama sasa.
tulifahamiana ila mi mtt wa kike kwa kudengua na mapozi hadi nakera..nliunstall hiyo app but still mkaka ananitafuta tu plz j tuonane niwe rafiki ako...nkamzungusha wee baada ya miezi akaniambia mi naondoka naenda abroad kusoma.alupofika huko tukaendelea kuwasiliana akafunguka tuanzishe relationship.tukawa in distance relatipnship mwaka mzima..mwenyewe baadae akazingua.
but nlimpenda na alinipenda mno..ni mtu aliekua ananielewa sana.
hakuna namna tena.
Shida unaweza kukuta sie yeye mwenyewe ila kuna mtu ndiyo anatumia picha zake
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Tatizo ulikuwa unachat na mwanaume mwenzio ukihisi ni demu so lazima akuchafue ili usiendeJuzi kati nilimjaribu dada mmoja tukaelewana vizuri hadi nikaelekezwa getoni lkn kabla sijaanza safari nikaombwa elfu 50 nilipomwambia hadi nifike tuonane,mkuu nilishushiwa matusi kama kontena 26 zile za bandarini hadi nikachukia yani sina hamu na wanawake wa badoo hawana heshima hata kidogo.
We anza na kuwalike lije kwenye Profile zao, wakiku back like ndio anza kuwa msg kwa maana milango inakuwa wazi kutuma na kupokea msgAnaejua jins ya kunasa demu mapema kule badoo..please aje inbox?? Naona kuna mambo ya kulipia tena cjui kumtumia demu meseji
Ukiingia kingi tu, jioni noti zinatafunwa namna hii
Hebu acha ufala, hapa tunaongelea badoo, hiyo ndio nini sasa?[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Mule muleeeeee!!!!! AjajajaaaaahHonestly Badoo nimewatafuna mademu wawili, japo nilishaonana na mademu zaidi ya kumi wa badoo ila nmebahatika kuwakaza wawili tu! Mademu wa badoo wanapenda sana pesa na maisha ya juu wengne watakuuliza unaishi wapi ili wajue kama unachunika wakuchune haswa! Hao wawili niliowatafuna sikutumia hata pesa ni maneno tu hao wengne walikuwa wanataka pesa ndefu, ila ni mademu wakali sana tu mpk leo namba zao ninazo naangaliaga tu Dp zao nauchuna! Currently niko bize but nikiwa free tena ntawatafuna kama kawa...
Usipokuwa Makini Badoo, utaishia kutoa msaada wa pesa na Papuchi hauli, ubahili wangu unanisaidia sana.!
Wapo Wengi sana wanajikusanyia pics za wanawake huko fb na IG kisha wanafungua accounts kwenye mitandao na kujidai ndio muhusika. Ishatokea kwa mmoja alikuwa anatumia picha za manzi nnayemfahamu sana..nikawa namchoraa weee mwisho nikawa nambana kwa maswali yakimkakati nilimfungukia mbaya akaishia kuniblockShida unaweza kukuta sie yeye mwenyewe ila kuna mtu ndiyo anatumia picha zake
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Usisahau pind unapotaka kuwatafuna baba wee Sachi mikoba yao kabisa
Endelea kumendea utakipata unachokitakaKwani ni mkeo? Me nammendea au harakati zako kumbania?
Superb experienceNjia ya kuwatandika hao bika kutuma pesa we hakikisha unawataka kam watatu hivi na uwaulize upo wap,,akisema yupo kinondon au sinza bas mwambie poa,,we washa zako gar mpka sinza kaa kwenye bar halaf mwambie mbona mi nipo hapa bar fulan natafuna zangu nyama na bia karibu...
Kama alikuadnaganya atakuambia nilitoka kidgo,kama yupo hapo lazma aje maana ukiwa mbali hawachelew kukuambia nitumie nauli 10000,,,we akisema yupo gabata nenda tabata kaa bar mwambie nam nipo tabata...
Halaf usiwe mjinga kupatana nae jumla we mwambie kila bao nakupa elfu kumi na fano kwa hyo ni juhud zako za kiuno ukipepete nikojoe haraka,,hawachomoi
Tena kama wa kinondon nenda pale Nin hotel chukua chumba kikali ,30 tu unakaa ghorofan tumbo waz na bukta unapiga baltika unamwambia tu nipo hotel mpka wiki ijayo njoo haraka utaona atakavyochukua boda aje fasta
So your threating me😡Endelea kumendea utakipata unachokitaka
I warn youSo your threating me😡
[emoji23][emoji23]Hutak mtu akuenturupt eeHebu acha ufala, hapa tunaongelea badoo, hiyo ndio nini sasa?[emoji34] [emoji34] [emoji34]
Tuongelea badoo analeta mengine, aache ufala {in Halima mdee's voice}[emoji23][emoji23]Hutak mtu akuenturupt ee