Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Just go on
Mkuu vita vya mtandao nishapigana Sana tokea 2001 wataalam Wa mitandao walikuwa chenga Sana security za mitandao zilikuwa down Sana niliweza hadi kuzima au kukuwekea virus kwenye computer ya mtu yeyote haswa watu kama nyie nilikuwa nawakomesha Sana... Command kukutumia kudelete files zako ilikuwa kuomba uwepo wako online tu... Ila nimeacha ulikuwa utoto but Sijawahi ogopa maandishi... Huwa nafanya nachotaka... Nilishachat Sana kwenye social media enzi hizo people like you mlikuwa kibao yaani madomo zege waliona msichana anasemeshwa anaweka kinga and then Hana la kumuongelesha Mtoto Wa kike nikuambie Mtoto Wa kike anataka kusemeshwa unadhania kwenye dressing table wanakaa Sana kwa ajili ya nini? Kukaa na ububu?
 
Na wengine ukiwa na namba yao ukiwapigia hawapokei..baadae anakutumia sms anakuambia baby ujue line naitumia kama chip kwenye laptop..muongo huyo ni janaume tu
 
Ila BADOO ni jipu lakutumbuliwa aiseh! Kule ni mambo ya Uuzaji Mwili na Mapenzi ya Jinsia Moja(Tena Gay issues kule ndio imeshamiri kweli kweli).
 
KABLA kusema jambo ningependa KUTOA pole kwa wana Jf mlio tapeliwa Badoo au kuzinguliwa Badoo.

Mimi ni mtumiaji mzuli sana wa mtandao wa Badoo takribani miaka minne hivi,

ukweli ni kwamba ndani ya Badoo kuna ma group aina tatu za watu

1.matapeli wa mapenzi.

2.wanawake wanaojiuza

3.wanawake wa kawaida.

Mimi tangu. Nianze kuutumia huu mtandao nimetafuna mademu wengi sana wanaojiuza NA wasiojiuzaa.

1.mademu wasiojiuza ni wengi tuu na wako poa unatongoza Leo na kesho unakula mzigo tena hutoi hata senti tano ,

2.kuna mademu wanaojiuza hawa mademu na nimenunua sana papuchi ila ukweli ni kwamba show zao mbovu unampa demu mzigo kama 40 au 50 unapiga viwili au vitatu show zao kitandani hamna kitu.

Wakati ukienda zako pande za kimboka,sewa, kisuma au fence corner demu unampa 10 au 20 show yake sio mchezo mpaka unaridhika sio Badoo wanataka ukojoe fasta usepe zako fastaa
Na yeye ajisepeshe kwa maana ana order za wateja wengi.

3.matapeli. Wa mapenzi Badoo ni kweli wapo lakini jinsi ya kudeal nao usijaribu kutuma pesa bila kuonana nao ,. .....
 
Haa haaa Badoo noma sana na makazi yao wengi utasikia Tabata,Kimara,Ubungo, Mbezi beach na Sinza, ni nadra sana kumkuta anakaa uswahili, Mie kina mmoja tulipanda dau kwa 30 akanipa na namba, nina call app nilivyosave ikaniletea jina, nikachukua namba ile na kwenda search facebook si unajua siku hiz facebook na Whatsap kuna vitu vina share, goma lile kuliona kule looooo lizee tupu nikalipotezea
 
Unaongea sana au unaimba taarabu mkuu
 
BTW nimekuwa interested na hiyo ishu ya kijinga ya spying.

Ukiwa free nijuze tufanye jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…