Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Karibu wanawake wote wa badoo si wazuri. Sijui kwanini halafu wanajiuza .

Jaribu cupid na afrointroduction na wale waislamu muslima huko kidogo kuna vitu vinaeleweka.

Badoo weñgi kndoni,sinza,mtoni,tmk,ilala,buguruni sasa hiyo mitaa ni njaa tupu
 
Hiyo hela mtumie mzazi wako na hii baridi walau anunue sukari
 
Mkuu kama dhamira ya kujiunga huko Badoo ni kupata wanawake kubali tu kupigwa hiyo mizinga,utawapata mubashara kabsa
 
Badoo ni kokoro siku izi. Kuna mashoga, rejects, machangudoa, matapeli, wake za watu na kwa mbali wasaka ndoa. Kazi kwako
 
Badoo ni kokoro siku izi. Kuna mashoga, rejects, machangudoa, matapeli, wake za watu na kwa mbali wasaka ndoa. Kazi kwako
 
Upichukua namba za nn tuma pesa acha kulalamika
 
Ushamba upi? Walioko huko wanajua wanachokifanya huko inawezekana inawanufaisha
9oooloooookooooooooloooookoo99ok;kk;kkoooooooooooooooooooolooolooooooooooooooooooooooooooooooolooooooooooo9ooooooooooooooloooooooooo9ooollloooooooooooooo9ooooooooolloooloooooooo9oooooooooooooooooo9ooo9o
 
Kwani haujui badoo ni mtandao wa kujiuza?
Au umeenda tu kichwa kichwa?
 
Kwa sababu na wao wanajua unachokitaka wacha wakukomoe tu mapema...maana mkipata fursa huwa mnachokoa kuanzia kwenye maini nmpaka utumbo mpana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…