Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Nakujaaa hivi punde.usitongozee badoo,, njoo jf
Tumia akili angalia hata post zao utagundua huyu mtu ni mswahili au lahwew uliyeingia kichwa kichwa mpaka ukajitoa ndo mshamba, aya tuambie mjanja umehamia wapi IG??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] badoo kuna warembo..!!!?Embu weka picha za hao warembo
Km ngpHaya anza ila me nitakuomba tena nyingi
hapana si semiKm ngp
9oooloooookooooooooloooookoo99ok;kk;kkoooooooooooooooooooolooolooooooooooooooooooooooooooooooolooooooooooo9ooooooooooooooloooooooooo9ooollloooooooooooooo9ooooooooolloooloooooooo9oooooooooooooooooo9ooo9oUshamba upi? Walioko huko wanajua wanachokifanya huko inawezekana inawanufaisha
Kwani haujui badoo ni mtandao wa kujiuza?Habari za muda wanajukwaa,
Niende kwenye mada moja kwa moja,
Nimekuwa nikijaribu kufanya mawasiliano na baadhi ya wanawake kwenye mtandao wa Badoo, lakini cha ajabu asilimia kubwa kama sio wote, mkishaanza mawasiliano wataanza kuomba vocha, mara nauli, mara hela ya kula, mara ya saluni, sasa najiuliza kwanini hawa wanawake wako hivyo.
Mbona wao kila ukianza kuwasiliana nao ni mizinga tu na usipowatumia, au ukiwachana wanapotea kimoja, leo nimewasiliana na wanne wapya wote wamenipiga mizinga, mmoja hela ya kula, mwingine nauli na wengine wawili hela ya saloon, kwa nini wako hivi, wakuu hebu nipeni uzoefu wenu kuhusu hawa watu.