Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Siku izi wadada wazuri wapo kwny app ya Your love yaan sijawahi omba namba nikakataliwa
 
hiyo app ipo playstore?
Ipo ila anza na hii Tantan napo mambo ni motooo iyo your love masharti ya VIP members yamekuwa kero tofauti na uku Tantan ni kuteleza tu

IMG_20180708_163332.JPG
 
Nimewatafuna wachache kwa mbinde maana huwa wanagoma chini ya msimbaz
 
Habari zenu wana jukwaa.

Kwa wale watumiaji wa mitandao ya mahusiano kama Badoo, Hitwe na mingine sio ajabu kua timewahi kukutana na watoto/mabinti wadogo sana kwenye hii mitandao wengine bado wakiwa shuleni.

Kwa upande wangu nimebahatika kukutana na mabinti wadogo sana kwenye hiyo mitandao.

Nashindwa kuelewa hawa mabinti wadogo kabisa nani anawaexpose kwenye mitandao mikubwa hivi.

Mwaka 2014 nilikutana na binti mmoja hivi mdogo sana, alikua anasoma kidato cha tatu shule moja ya wasichana iko katikati ya jiji la Dar es salaam.

Mwaka 2015 pia nikakutana na binti mwingine kwenye huo huo mtandao.
Juzi hapa nimekutana na binti mwingine mdogo kwenye mtandao wa Hitwe.

Nashindwa kuelewa, hawa mabinti wadogo nani anawaexpose kwenye hii mitandao? Ni ukosefu wa malezi bora au shida gani, mfano huyu mmoja niliekutana nae mwaka 2014 kwao wana maisha mazuri kabisa, baba yake ni mtu ana heshima zake kwenye jamii.

Wazazi mnashindwa wapi, mbona watoto wadogo hawa wanaanza uchakubimbi mapema hivi.

Wazazi lindeni watoto wenu, wakija huku nje sisi tunawatafuna tu, ile mwana wa mwezio ni wako haipo tena. Msipolinnda watoto wenu sisi huku tutawalinda kwa namna nyingine.
 
Daima utakutana na unachokitafuta. Ukitafuta wakubwa wenzio utawapata, ukitaka kuona wadogo 'sana' kama usemavyo mwenyewe nao pia utawaona. Daima huwa tunaona kila tulichodhamiria kukitazama na si vinginevyo.
kama vile ulivyojua wewe na wao wamejua hivyo hivyo kuhusu hiyo mitandao.
 
Last edited:
  • Thanks
Reactions: Pep
Duh hili tangazo lako ni la kiwango cha PhD hadi mimi umenishika
ngoja nizipakue fasta hizo app na mimi nikawaone
 
Habari zenu wana jukwaa.

Kwa wale watumiaji wa mitandao ya mahusiano kama Badoo, Hitwe na mingine sio ajabu kua timewahi kukutana na watoto/mabinti wadogo sana kwenye hii mitandao wengine bado wakiwa shuleni.

Kwa upande wangu nimebahatika kukutana na mabinti wadogo sana kwenye hiyo mitandao.

Nashindwa kuelewa hawa mabinti wadogo kabisa nani anawaexpose kwenye mitandao mikubwa hivi.

Mwaka 2014 nilikutana na binti mmoja hivi mdogo sana, alikua anasoma kidato cha tatu shule moja ya wasichana iko katikati ya jiji la Dar es salaam.

Mwaka 2015 pia nikakutana na binti mwingine kwenye huo huo mtandao.
Juzi hapa nimekutana na binti mwingine mdogo kwenye mtandao wa Hitwe.

Nashindwa kuelewa, hawa mabinti wadogo nani anawaexpose kwenye hii mitandao? Ni ukosefu wa malezi bora au shida gani, mfano huyu mmoja niliekutana nae mwaka 2014 kwao wana maisha mazuri kabisa, baba yake ni mtu ana heshima zake kwenye jamii.

Wazazi mnashindwa wapi, mbona watoto wadogo hawa wanaanza uchakubimbi mapema hivi.

Wazazi lindeni watoto wenu, wakija huku nje sisi tunawatafuna tu, ile mwana wa mwezio ni wako haipo tena. Msipolinnda watoto wenu sisi huku tutawalinda kwa namna nyingine.
hujamalizia mkuu,ulipokutana nao nini kiliendelea mzee baba au uliwaelekeza waache kutumia mitandao wajiwekeze ktk masomo na nahc uliwaita kwako au pub ukawapa semina elekezi,safi sana mkuu kwakujali maana wazazi wote tungekuwa hivi nchi yetu ingefika mbali sana
 
Wanafundishwa hiyo mitandao na watu tu kama wewe mkuu, kwa nia mbaya au kwa kutokujua. Mfano ni wewe kuwatajia hii mitandao, (binafsi miwili sikuwa naijua) ambao hawakuwa wanaifahamu wanaenda kuisaka na kujifunza kilichopo.
Kile unachomtendea mtoto wa mwenzio leo ili kisikupate jihakikishie kuwa wewe ni mgumba kwahiyo haitokuumiza sana atapokuwa anatendewa mtoto wa ndugu yako.
Jamii hasa watoto ni wetu sote, tusifurahi kuharibika kwa mtoto wa fulani kwakuwa sio wako. Kama wewe ungewaelimisha watoto uliokutananao ktk hiyo mitandao, ungekuwa umewasaidia kwa namna moja ama nyingine kujitambua.
 
Back
Top Bottom