Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Habari zenu wana jukwaa.

Kwa wale watumiaji wa mitandao ya mahusiano kama Badoo, Hitwe na mingine sio ajabu kua timewahi kukutana na watoto/mabinti wadogo sana kwenye hii mitandao wengine bado wakiwa shuleni.

Kwa upande wangu nimebahatika kukutana na mabinti wadogo sana kwenye hiyo mitandao.

Nashindwa kuelewa hawa mabinti wadogo kabisa nani anawaexpose kwenye mitandao mikubwa hivi.

Mwaka 2014 nilikutana na binti mmoja hivi mdogo sana, alikua anasoma kidato cha tatu shule moja ya wasichana iko katikati ya jiji la Dar es salaam.

Mwaka 2015 pia nikakutana na binti mwingine kwenye huo huo mtandao.
Juzi hapa nimekutana na binti mwingine mdogo kwenye mtandao wa Hitwe.

Nashindwa kuelewa, hawa mabinti wadogo nani anawaexpose kwenye hii mitandao? Ni ukosefu wa malezi bora au shida gani, mfano huyu mmoja niliekutana nae mwaka 2014 kwao wana maisha mazuri kabisa, baba yake ni mtu ana heshima zake kwenye jamii.

Wazazi mnashindwa wapi, mbona watoto wadogo hawa wanaanza uchakubimbi mapema hivi.

Wazazi lindeni watoto wenu, wakija huku nje sisi tunawatafuna tu, ile mwana wa mwezio ni wako haipo tena. Msipolinnda watoto wenu sisi huku tutawalinda kwa namna nyingine.
Kama ulijitengea muda wako kwa furaha kwa hao watoto wa wenzako wa mitandaoni na ndivyo wa kwako watakavyofanywa na wengine ukishuhudia kabla ya mauti yako.
 
''...Kwa upande wangu nimebahatika kukutana na mabinti wadogo sana kwenye hiyo mitandao...''

Kiongozi hii unaita umebahatika?!
 
Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
 
Don't be quick to judge and usifanye maamuzi ya haraka, fanya utafiti mwenyewe. Either jaribu kucheki simu ya mpenzi wako(kama ikiwezekana) au mtongoze kupitia huko badoo na mpange kuonana kisha jibanze sehemu na kucheki kama ni yeye atakaetokea au la. Ila jiandae kwa lolote you might see.

Hii ni kwasababu watu wengi mtandaoni wanatumia picha si zao, kwahiyo kama mpenzi wako ni mzuri au ana shape, mtu anaweza kuiba picha yake sehemu yoyote ile na kuipachika as profile picture, ili kuvutia watu.
 
Last edited:
Ni mpenzi wako au ni "muasherati mwenzako"?? Mpenzi wako ni "mkeo tu" lakini kama hujamuoa huyo binti, basi ni muasherati mwenzako tu, na yeye kuwa BADOO ni sawa maana huo ni mtandao wa waasherati!

Mkuu achana na Uasherati, oa utulie. Imeandikwa ikimbieni zinaa!
 
Nilivyosoma heading nikadhan umemkuta mpenzi wako bado bikra kumbee daaah!

Haya wanakuja
Hahahahaua namm nkajua hivo ivo[emoji23][emoji23][emoji23]

Hii inaonyesha bikra zimekua Adimu kama kalio la nyoka kias kwamba ukisikia Nmemkutaaa badooo...unjiuliza.bado.bikra??? Hahahahah .
 
1.Pengine alijiunga kabla ya kuolewa nawe!
2.Sio kila aliyepo badoo ni muasherati kuna watu wanafanya zao biashara halali
3. Wengine wanachat zao tu na kutafuta marafiki.

Kwangu binafsi, ule ni mtandao ambao umenipatia wateja wa bidhaa zangu mbalimbali na marafiki wengi wa maana kuliko mtandao mwingine wowote.
 
Easy mkuu, kujiuliza bila kumuuliza yeye au kufanya uchunguzi kwa nini yupo huko ni kujiumiza tu. Mchunguze au muulize kwanza.
 
Sikuwahi kujua kama huu mtandao ni wa hivi, nilikuwa nikijua ni kama fb tu maana nako haya yapo. Nadhani mtoa mada hana uelewa wa kutosha, maana hata mitandao mingine watu wanaliwa tu kama ni malaya.
 
  • Thanks
Reactions: lup
Back
Top Bottom