Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Wengi wanaoomba nauli hua ni wanaume.. kua makini.

Kama anataka aje mwambie achukue boda boda aje utalipa.

Juzi nimeopoa mtoto mmoja toka badoo aisee anajua kuchezea mshedede, mkuu mtoto anachezea mashine kama amesomea chuo kikuu.
Duh usinikimbushe.. kuna mmoja nikipata alikuja mwanza mda mfupi baadaye tukonana badoo Akaja kwangu aisee sitajuta kuwa na huyo dada na sikujua kama ni mke wa mtu siku moja nampigia sim amesbarudi arusha nashangaa mwanaume anapokea na kudai ni mme wake
 
Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
hey be spesific thread aieleweki
 
Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
Kuna madem kama 17 wa badoo nimewala week hii. Nahisi na wakwako itakua nimempitia mkuu. Ai em vele sole
 
Kule badoo kila bi mdada yuko single...wanadanga hao kama nini....!
 
Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
Inawezekana someone ametumia picha ya mpenzi wako maana huko badoo watu hawaweki real picha zao
 
Huyo mkeo atakuwa mzuri sana mpaka watu wanatumia picha yake!!
 
Tupia kapicha kake mkuu maana kule ni kuwaokota nakupita inaezekana nilishawahi kupita nae mkuu ndio mana nakuambia utupie picha.
 
Wakuu naandika nikiwa kwenye lindi la maswali ,mimi sina akaunti lakini kuna jamaa huwa analog in ananionyesha malaya nnaowaheshimu anawazingua inbox tunacheka tu katika kuperuz hamad !!!!picha ya mupenzi hii hapa ,uzuri akaipita nkavizia lunch nikaitafuta ana jina feki mle nkaogopa kuchat nae jamaa ni messi atapiga bure,hivi hii ni nini?
Ungemwambia umejua mambo yake
 
Back
Top Bottom