Habari zenu wana jukwaa.
Kwa wale watumiaji wa mitandao ya mahusiano kama Badoo, Hitwe na mingine sio ajabu kua timewahi kukutana na watoto/mabinti wadogo sana kwenye hii mitandao wengine bado wakiwa shuleni.
Kwa upande wangu nimebahatika kukutana na mabinti wadogo sana kwenye hiyo mitandao.
Nashindwa kuelewa hawa mabinti wadogo kabisa nani anawaexpose kwenye mitandao mikubwa hivi.
Mwaka 2014 nilikutana na binti mmoja hivi mdogo sana, alikua anasoma kidato cha tatu shule moja ya wasichana iko katikati ya jiji la Dar es salaam.
Mwaka 2015 pia nikakutana na binti mwingine kwenye huo huo mtandao.
Juzi hapa nimekutana na binti mwingine mdogo kwenye mtandao wa Hitwe.
Nashindwa kuelewa, hawa mabinti wadogo nani anawaexpose kwenye hii mitandao? Ni ukosefu wa malezi bora au shida gani, mfano huyu mmoja niliekutana nae mwaka 2014 kwao wana maisha mazuri kabisa, baba yake ni mtu ana heshima zake kwenye jamii.
Wazazi mnashindwa wapi, mbona watoto wadogo hawa wanaanza uchakubimbi mapema hivi.
Wazazi lindeni watoto wenu, wakija huku nje sisi tunawatafuna tu, ile mwana wa mwezio ni wako haipo tena. Msipolinnda watoto wenu sisi huku tutawalinda kwa namna nyingine.