Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Du..huyo anayenuka miguu mbunye itakuwajebadoo noma nilikutana na demu huko ananuka miguu balaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du..huyo anayenuka miguu mbunye itakuwajebadoo noma nilikutana na demu huko ananuka miguu balaaa
Piganeni mshindi ndiyo ana haki na ukhutyI warn you
So your threating me😡
tapeli mkubwa nikimkuta njiani nitamtongoza face-to-face Na. Kaikubali lazima nimtie mimba Kwa nguvuMkuu lengo si ilikuwa ni kuonana nae tu! Je kama akija sahv muonane hutamchafua?
Hamna watu wanaotumia vibaya Lkn WAPO Mademu wengine WAPO makini na wanahitaji wanaume kweli.wengune mpk wanaolewa.kupitia badoo.Inaonesha uo mtandao ni wa kuliana pesa tu hahaha
hongera mkuu ila usiwazoee sana hao hawapo poaMimi nmepiga Juzi mmoja morogoro ...............hata Seti sijatoa.....aliingia kichwa kichwa.
Mkuu asante..;unajua kazi zetu hizi inafika pahala huna jinsihongera mkuu ila usiwazoee sana hao hawapo poa
Makubwa ayoo![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Huyu atakuwa mwanaume kiwaida mwanamke hatoi namba kienyeji hivyoIle kusalimia tu......![]()
Anaitwa samia nimesoma naye ni mtoto wa kishua kinoma awezi Fanya huo ujinga last time nilikutana naye maisha basementMakubwa ayoo
Duh huyu hana tabu kujitangaza kabisa, kweli life tight bongo hapa
Yani elf kumi kuliwa ndio ulingie galama zote hizo![]()
![]()
![]()
Huyu ni tapeli Mkubwa katika mitandao Ya kijamii hasa hasa badoo nadhani tushauriane kumkamata huyu mtu.maana ni Shida kashawatapeli watu wengi sana.nikiwemo Mimi nilimutumia elfu 10 .kwa Mashati aje tuonane Lkn mwisho wa Siku Ukawa ni maumivu .nimekusudia kuchafua Ktk mitandao yoote ikiwemo .nataka kuprint Picha zake kwa wingi halafu nizisambaze Posta yoote Na. Viunga yake has a Zanzibar Maana amekalia ni mkazi wa huko visiwani.bila uisahau kariakoo.na MAGOMENI.km bujeti Yangu itatosha nafika mpk Arusha Na. Pia kutangaza ktk gazeti la udaku japo moja natummpia tangazo huko.
Ulikua unadengua bongo kaenda abroad fasta ukakubali!!! Wanawake na pesa teh tehi met a man at badoo...2015 mwanzoni..haukua mtandao ulioshamiri umalaya kama sasa.
tulifahamiana ila mi mtt wa kike kwa kudengua na mapozi hadi nakera..nliunstall hiyo app but still mkaka ananitafuta tu plz j tuonane niwe rafiki ako...nkamzungusha wee baada ya miezi akaniambia mi naondoka naenda abroad kusoma.alupofika huko tukaendelea kuwasiliana akafunguka tuanzishe relationship.tukawa in distance relatipnship mwaka mzima..mwenyewe baadae akazingua.
but nlimpenda na alinipenda mno..ni mtu aliekua ananielewa sana.
hakuna namna tena.
Hajui Huyu Anadhani Ni Picha Za Mhusika. Wengi Wanaojua Wanataka Kutapeli Ni Wanaume So.Wanatumia Picha Za Wanawake Tofauti. Sasa Ww Bakia Kupost Mipicha Apa Wakat Unayempost Hata Hajawah Kuingia Badoo!Shida unaweza kukuta sie yeye mwenyewe ila kuna mtu ndiyo anatumia picha zake
Huyu amebadili jina, alikuwa anajiita Salma, amekula 15000 yangu huyu, dadeki na ukimpigia simu ana sauti kavu sana, I think ni ganja alone[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ile kusalimia tu......![]()