Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

7e4dafa7e9d2691cc794a6e8f71b1a26.jpg

Na hawa pia wamejaa badoo[emoji85] [emoji85]
Hili punga limehamishia shanga za kiunoni shingoni
 
Mkuu huyo wa juu nimetoka kuchat nae recent anasema anakaa kigamboni [emoji3] [emoji3]
Na dili lake kubwa ni nauli, ila ana msambwanda wa hatari watu kibao watakuwa wanatuma nauli
 
Na dili lake kubwa ni nauli, ila ana msambwanda wa hatari watu kibao watakuwa wanatuma nauli
Ña wanaume tunajirahisi mno kutuma pesa. How comes mtu unatuma pesa wakati hata huyo unayemtumia humjui?
 
Mkuu hiyo ni sehem ya biashara ila sema tu anataka kukuuzia kitapeli
 
Back
Top Bottom