Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

f9b8c4dd584a4b85355fe0a21621fea4.jpg
[emoji115] [emoji115] Huyu nae hataki kutoa mawasiliano

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]   [emoji100][emoji124][emoji125][emoji125][emoji125]
We jamaa endelea kutuma picha kuna mtu atamkuta mkewe soon
 
Tumia ujanja mkuu huna haja ya kutoa pesa.. akikulike wewe mark rangi za picha kisha nenda kule kwenye walipo pitia picha kadhaa zenye rangi na ukiona zinazoendana wewe like ikimatch utapata msg hapo utaweza mtambua kwa picha yake na pia unamtumia msg ya kuomba date and then msikilizie kama wa mizinga mapema mpotezee huyo ni agent wa TRA
Mi wamezuia account yangu mpaka nipige picha kwa pozi lao. Nimegoma na nimefuta app yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom