Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Nilimtongoza demu badoo tukawa tunachati sana kama wapenzi, nilikua natumia picha si zangu. siku tukapanga tukutane kwenye nyumba ya wageni ni mgegede. Nikatangulia room baadae akaja akagonga mlango alivyoingia niliduwaa aisee. Kumbe anafanya kazi na wife na kwenye harusi yetu alikua meid wa bibi harusi
Ohoooo na yeye alitumia picha fake?
 
Nilimtongoza demu badoo tukawa tunachati sana kama wapenzi, nilikua natumia picha si zangu. siku tukapanga tukutane kwenye nyumba ya wageni ni mgegede. Nikatangulia room baadae akaja akagonga mlango alivyoingia niliduwaa aisee. Kumbe anafanya kazi na wife na kwenye harusi yetu alikua meid wa bibi harusi
Bora hukukumbana na mkweo![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilimtongoza demu badoo tukawa tunachati sana kama wapenzi, nilikua natumia picha si zangu. siku tukapanga tukutane kwenye nyumba ya wageni ni mgegede. Nikatangulia room baadae akaja akagonga mlango alivyoingia niliduwaa aisee. Kumbe anafanya kazi na wife na kwenye harusi yetu alikua meid wa bibi harusi
enhee ikawaje🙂
 
Nilikua na chat na msichana kama wiki hivi akawa ananimwagia utamu wake wote kwenye watsap na sex story ambazo zimeniingia kisawasawa kichwani mwangu sasa shughuli ilikuja akawa anataka tufanye video sex hapo ndipo nilipoanza kupatwa na mashaka. Nilimkwepa siku kadhaa lakini nikaiingia kwenye mtego.

Kupokea amekutana na mtu tofauti na aliyemuona kwenye Badoo hapohapo akakata simu na saivi hataki mawasiliano na mimi, nimejaribu kupiga simu sana, kutuma meseji nyingi bila ya kupata majibu. Nisaidieni wana JF huyu mwanamke nimempenda ingawa hatujawahi kuonana sijui nifanyeje sasa.

Nilijaribu kumwambia mimi sipendi kuweka picha yangu halisi kwasababu siko sirias kukutana na mtu yoyote just chat tu wewe ndio wa mwanzo ambae nimetegemea tukutane lakini ananiambia hawezi kuniamini tena.

Nisaidieni ili nimrudishe kwenye imani yake ya mwanzo na huyu sio wale maneno mawili anakwambia shida.

Nenda haraka ukatubu dhambi zako na imani yako itakuponya. Usisikitike pale unapoikosa dhambi, usisikitike pale Mungu anapokuepusha na dhambi. Bali sikitika kwamba ulikuwa unaelekea kwenye mdomo wa mwovu shetani.

Siku hizi vijana zinaa na uzinzi mnaita mapenzi? Hebu furahi sasa na usisikitike tena Mungu amekuepusha na uovu
 
Nilikua na chat na msichana kama wiki hivi akawa ananimwagia utamu wake wote kwenye watsap na sex story ambazo zimeniingia kisawasawa kichwani mwangu sasa shughuli ilikuja akawa anataka tufanye video sex hapo ndipo nilipoanza kupatwa na mashaka. Nilimkwepa siku kadhaa lakini nikaiingia kwenye mtego.

Kupokea amekutana na mtu tofauti na aliyemuona kwenye Badoo hapohapo akakata simu na saivi hataki mawasiliano na mimi, nimejaribu kupiga simu sana, kutuma meseji nyingi bila ya kupata majibu. Nisaidieni wana JF huyu mwanamke nimempenda ingawa hatujawahi kuonana sijui nifanyeje sasa.

Nilijaribu kumwambia mimi sipendi kuweka picha yangu halisi kwasababu siko sirias kukutana na mtu yoyote just chat tu wewe ndio wa mwanzo ambae nimetegemea tukutane lakini ananiambia hawezi kuniamini tena.

Nisaidieni ili nimrudishe kwenye imani yake ya mwanzo na huyu sio wale maneno mawili anakwambia shida.
Hahahah unatongoza msichana badoo?? Changudoa anatongozwa?

Mademu 90% waliopo Tagged, badoo na tango ni machangudoa wanaojiuza!
 
Nilikua na chat na msichana kama wiki hivi akawa ananimwagia utamu wake wote kwenye watsap na sex story ambazo zimeniingia kisawasawa kichwani mwangu sasa shughuli ilikuja akawa anataka tufanye video sex hapo ndipo nilipoanza kupatwa na mashaka. Nilimkwepa siku kadhaa lakini nikaiingia kwenye mtego.

Kupokea amekutana na mtu tofauti na aliyemuona kwenye Badoo hapohapo akakata simu na saivi hataki mawasiliano na mimi, nimejaribu kupiga simu sana, kutuma meseji nyingi bila ya kupata majibu. Nisaidieni wana JF huyu mwanamke nimempenda ingawa hatujawahi kuonana sijui nifanyeje sasa.

Nilijaribu kumwambia mimi sipendi kuweka picha yangu halisi kwasababu siko sirias kukutana na mtu yoyote just chat tu wewe ndio wa mwanzo ambae nimetegemea tukutane lakini ananiambia hawezi kuniamini tena.

Nisaidieni ili nimrudishe kwenye imani yake ya mwanzo na huyu sio wale maneno mawili anakwambia shida.
na yeye alitumia fake, both team to score
 
Back
Top Bottom