Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Pale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa
4e230f39b0cda7bdac6834f253cc68da.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanamke ninae karibia kumuoa nimempatia badoo mwaka jana rafiki yangu kafunga ndoa na demu alimpata badoo
Dunia ime change misele yetu ipo mitandaoni imerahisisha watu wa mikoa na makabila mbali mbali kukutana na kuanzisha mahusiano zaman haikuwa rahis sana had uwe mtu wa kusafiri au uish mjini ambapo kuna jamii mchanganyiko ila jamii nyingi zilioana kabila moja au watu wanao ish mji mmoja...ila kwa sasa ni rahis mnyakyusa kukutana na msambaa bila hata kusafiri na kila kinaenda sawa mnaweza kukutana mtaan,maeneo ya kaz,usafiri na bado mambo yasiende sawa na mkakutana mtandaoni ikawa fresh..!..nimeona wengi wakifanya hivyo nchi za ulaya walianxa huvyo sikunyingi kuwa na online dating sababu ya life style yao sio ya kushobokeana sana sehem salama ni online sema mtizamo tulionao sisi ni negative kila sehem kuna uchafu watu wapo mtaana na wana fake life sembuse mtandaoni si ana fake infomation had picha ila wakweli pia wapo.!
 
Baada ya kupigwa sanaaaaaa
Mkuu usifukue makaburi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu usifukue makaburi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Usijali Mkuu, hata Jiwe huwa linafukua. Itakuwa mm bana.
 
Usijali Mkuu, hata Jiwe huwa linafukua. Itakuwa mm bana.
Mkuu hii ni sawa na Tegeta Escrow, Dowans na Richmond. Hata jiwe halifukui. Chonde chonde mkuu, usifukue[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Mwanamke ninae karibia kumuoa nimempatia badoo mwaka jana rafiki yangu kafunga ndoa na demu alimpata badoo
Dunia ime change misele yetu ipo mitandaoni imerahisisha watu wa mikoa na makabila mbali mbali kukutana na kuanzisha mahusiano zaman haikuwa rahis sana had uwe mtu wa kusafiri au uish mjini ambapo kuna jamii mchanganyiko ila jamii nyingi zilioana kabila moja au watu wanao ish mji mmoja...ila kwa sasa ni rahis mnyakyusa kukutana na msambaa bila hata kusafiri na kila kinaenda sawa mnaweza kukutana mtaan,maeneo ya kaz,usafiri na bado mambo yasiende sawa na mkakutana mtandaoni ikawa fresh..!..nimeona wengi wakifanya hivyo nchi za ulaya walianxa huvyo sikunyingi kuwa na online dating sababu ya life style yao sio ya kushobokeana sana sehem salama ni online sema mtizamo tulionao sisi ni negative kila sehem kuna uchafu watu wapo mtaana na wana fake life sembuse mtandaoni si ana fake infomation had picha ila wakweli pia wapo.!
Usijepata mtu wa kukufukulia kaburi lake, huwa watu wanataka kuchizika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hii ni sawa na Tegeta Escrow, Dowans na Richmond. Hata jiwe halifukui. Chonde chonde mkuu, usifukue[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
asiyekuelewa chizi.
Pamoja.
Tusije gongana kwa kicheche kimoja tu huko Badoo.
 
Ukiwa na mume yupo badoo andika huna mume

Ukiwa na mke yupo badoo andika huna mke
Huo ndo ukweli badoo umegeuka mtandao kama wa kujiuza hivi

Ukiwa mpenzi wako, bae, dear, honey, boyfriend,girlfriend, yupo kule andika maumivu

Mwanaume wa badoo au mwanamke wa badoo ni wa wengi wala sio wa mmoja au wako peke yako

Halafu badoo kuna wanaume ambao "hawaeleweki" eleweki wanamambo ya 4g
Halafu badoo mashoga ni wengi mno
 
wengi wakinunua smartphone, huwa wanataka kuweka ama kuwekewa kila kitu ikiwemo hilo danguro, na wengi hujikuta ndani ya miezi miwili baada ya kununua smart, washavuliwa kufuli kama si mara moja, basi mara mbili, tatu mpaka tano na chanzo kikiwa ni mitandao ya kijamii.....si wote
 
Ukiwa na mume yupo badoo andika huna mume

Ukiwa na mke yupo badoo andika huna mke
Huo ndo ukweli badoo umegeuka mtandao kama wa kujiuza hivi

Ukiwa mpenzi wako, bae, dear, honey, boyfriend,girlfriend, yupo kule andika maumivu

Mwanaume wa badoo au mwanamke wa badoo ni wa wengi wala sio wa mmoja au wako peke yako

Halafu badoo kuna wanaume ambao "hawaeleweki" eleweki jinsia,zao teh teh
Hii kama kuna ukweli fulani hiv maana. Kuna dem alijiunga badoo ..nikimuuliza anasema kuchat tuu kumbe alikuwa na mabwana. Mwezi haukuisha alipachikwa mimba
 
Kuna mmoja nilikuwa namjuaga.nikawa najiuliza anapendea nini badoo kumbe kuna mambo yake kule.
Nilimjua baada ya kuona apps ya badoo kwa cm yake
 
Back
Top Bottom