Eng temu
Senior Member
- Nov 24, 2016
- 143
- 59
Kule una beba tuukumbe badoo kuna kutongoza pia? me nljua unabeba tuuu kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule una beba tuukumbe badoo kuna kutongoza pia? me nljua unabeba tuuu kule
Kudozi 100. Nikamwambia kudozi 20. AkatokomeaPrice zao zinafanana au wana regulatory authority.[emoji2] [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa![]()
Mkuu usifukue makaburi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Baada ya kupigwa sanaaaaaa
Usijali Mkuu, hata Jiwe huwa linafukua. Itakuwa mm bana.Mkuu usifukue makaburi[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Mkuu hii ni sawa na Tegeta Escrow, Dowans na Richmond. Hata jiwe halifukui. Chonde chonde mkuu, usifukue[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Usijali Mkuu, hata Jiwe huwa linafukua. Itakuwa mm bana.
Usijepata mtu wa kukufukulia kaburi lake, huwa watu wanataka kuchizika.Mwanamke ninae karibia kumuoa nimempatia badoo mwaka jana rafiki yangu kafunga ndoa na demu alimpata badoo
Dunia ime change misele yetu ipo mitandaoni imerahisisha watu wa mikoa na makabila mbali mbali kukutana na kuanzisha mahusiano zaman haikuwa rahis sana had uwe mtu wa kusafiri au uish mjini ambapo kuna jamii mchanganyiko ila jamii nyingi zilioana kabila moja au watu wanao ish mji mmoja...ila kwa sasa ni rahis mnyakyusa kukutana na msambaa bila hata kusafiri na kila kinaenda sawa mnaweza kukutana mtaan,maeneo ya kaz,usafiri na bado mambo yasiende sawa na mkakutana mtandaoni ikawa fresh..!..nimeona wengi wakifanya hivyo nchi za ulaya walianxa huvyo sikunyingi kuwa na online dating sababu ya life style yao sio ya kushobokeana sana sehem salama ni online sema mtizamo tulionao sisi ni negative kila sehem kuna uchafu watu wapo mtaana na wana fake life sembuse mtandaoni si ana fake infomation had picha ila wakweli pia wapo.!
asiyekuelewa chizi.Mkuu hii ni sawa na Tegeta Escrow, Dowans na Richmond. Hata jiwe halifukui. Chonde chonde mkuu, usifukue[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Dear mamboDuu, kumbe huu mtandao bado uko active? mie niliingia week tuu nilitoka mwenyewe hakuna adabu hata kidogo.
Hii kama kuna ukweli fulani hiv maana. Kuna dem alijiunga badoo ..nikimuuliza anasema kuchat tuu kumbe alikuwa na mabwana. Mwezi haukuisha alipachikwa mimbaUkiwa na mume yupo badoo andika huna mume
Ukiwa na mke yupo badoo andika huna mke
Huo ndo ukweli badoo umegeuka mtandao kama wa kujiuza hivi
Ukiwa mpenzi wako, bae, dear, honey, boyfriend,girlfriend, yupo kule andika maumivu
Mwanaume wa badoo au mwanamke wa badoo ni wa wengi wala sio wa mmoja au wako peke yako
Halafu badoo kuna wanaume ambao "hawaeleweki" eleweki jinsia,zao teh teh