Arien
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 11,245
- 11,767
poa poaIngia play store search tantan install utwaona wengi walio jirani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poaIngia play store search tantan install utwaona wengi walio jirani kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23]Pale mpemba alipopigwa pesa ndefu na simu ikazimwa![]()
Imenibdi nicheke sanaNiliombwa 6000 ya nauli nilingoja masaa mengi ikawa kimya nilipopiga cm haipatikani nahisi msichana wa watu alipata ajali ya boda boda dah nilimponza mtoto wa mwanamme mwenzangu sirudii tena I feel guilty
Kuna mmoja yeye hana longo ukimpigia anakupa mambo yuko
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mtu mzima ukaambulia patupuSitaki hata kusikia huu mtandao, nilipata rafiki picha zake kama mnyarwanda anajiita mwanahawa dooo akanililia shida elfu 30 ile kumtumia ndio Ukawa mwisho wa urafiki wetu simu hapokei mwisho zikawa hazipatikani kabisa namba zake ni hz huyu tapeli 0718870900 na 0684642067
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mimi alinambia anaishi Kimbiji, sasa kila nikicheki GPS inasema yupo kama km2 tu toka nilipo, kwavile kichwa cha chini kilinizidi akili nikamtumia hela, sasa hiyo asubuhi kwenye saa 3 hv, ikafika saa 7 nikamuuliza vp hujafika bado Akajibu yupo kwenye pikipiki, ikafika saa 10 nikamuuliza tena hujafika Akajibu nipo kwenye pikipiki, nikasema duh! Nishaliwa[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana ni ile nyimbo ya Mr ebo ya mbadoIyo bado Ni application au ile nyimbo ya daimond?
Mi nakupa hapa hapa nimsaidie kutangaza biashara!Ni pm namba zake fasta
Mi nakupa hapa hapa nimsaidie kutangaza biashara!
+255 678 138 839 huyo ni noooumah
Hebu funguka vizuri,hii ndo biashara kongwe kuliko zote dunianiMi nakupa hapa hapa nimsaidie kutangaza biashara!
+255 678 138 839 huyo ni noooumah
Huu mzigo si wa kitoto,lazima ushibe vizuri kabla ya kuingia uwanjaniNoma sana BAD-OOView attachment 778131View attachment 778132
Una umri gani, unatafuta nini huko?Heshima kwenu wakuu.
Well, bila ya kupoteza muda wakuu hii app imekuwa ni matata sana kwenye kui-download.
Nimetumia blackmart, getapk, freeapkdownloader vyote nimekwama naomba msaada mwenye maujanja ya kupata app hii anisaidie wakuu.
Nawasilisha.
Wazee wa take away.Heshima kwenu wakuu.
Well, bila ya kupoteza muda wakuu hii app imekuwa ni matata sana kwenye kui-download.
Nimetumia blackmart, getapk, freeapkdownloader vyote nimekwama naomba msaada mwenye maujanja ya kupata app hii anisaidie wakuu.
Nawasilisha.
Una umri gani, unatafuta nini huko?