Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Niambie mkuu ni vitu gani ambavyo wameviboresha na vitanishawishi kurudi tena huko Badoo?

Ulivyoviacha sio utakavyovikuta mkuu.

Screenshot_20180912-143530.png


Yapo mengi tu mazuri kiongozi ila ukiwa na Badoo Premium ndio uta-enjoy zaidi bro that's why nikasema niombe kwa wadau ili mwenye kujua anisaidie mkuu.
 
safi wanawane...sasa starehe ni kugegeda tuu. kwanza axhana na pombe na sigara zote starehe feki hizo. starehe orijino ni kugegeda

Hahahahah.

Wee jamaa bwana vipi mkuu na wee upo kwenye chama la wana nini kiongozi.. .?

Hiyo ndio starehe KUU tangu kuumbwa ADAM mkuu.

Nipe basi maujanja ya Badoo Premium bro.
 
Ulivyoviacha sio utakavyovikuta mkuu.

View attachment 864000

Yapo mengi tu mazuri kiongozi ila ukiwa na Badoo Premium ndio uta-enjoy zaidi bro that's why nikasema niombe kwa wadau ili mwenye kujua anisaidie mkuu.
We kweli chenga, app tayari unayo halafu unaomba njia ya kuidownload.. Hiyo attachment umeiweka hapo umeitoa wapi?

Na kama wameiboresha umejuaje wakati hiyo app umesema haupo nayo?
 
Hahahahah.

Wee jamaa bwana vipi mkuu na wee upo kwenye chama la wana nini kiongozi.. .?

Hiyo ndio starehe KUU tangu kuumbwa ADAM mkuu.

Nipe basi maujanja ya Badoo Premium bro.


Mie huko ndio napowapata Hawa warembo yaani unajichagulia mwenyewe ukiwa umetulia kwenye marimba ya mzungu.
 
We kweli chenga, app tayari unayo halafu unaomba njia ya kuidownload.. Hiyo attachment umeiweka hapo umeitoa wapi?

Na kama wameiboresha umejuaje wakati hiyo app umesema haupo nayo?

Hahahahah.

Nnayoomba mimi ni Badoo Premium na hii niliyonayo ni ya kawaida sio Premium.

Umeelewa bro...?
 
Back
Top Bottom