Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilipita kamgao siku hii bomba la gesi nakumbuka ndio lili pasuka
Mkuu nakushauri ungechaji hiyo simu yako kwanza! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Hivi mabaharia kwa nini mademu wa badoo ni rahisi kutongozeka yaani wanakubali kirahisi ukiachana na wale Malaya waliojiweka wazi

Yaani ukiwapa maneno ya uongo wanaamini kabisa unaweza sema wanataka ela kutoka kwako yani wakufanye danga lakini unakuta hawapigi vizinga kabisaa na wengine wachache wakipiga ni vidogo sana mfano vochaa

Hivi ni kwa nn
Kwa sababu wanataka wakupe ngoma kirahisi
 
Khe shoga
Nimeshtuka sana
5a5595edca4bcd89c8c06864939dc2b4.jpg
ff880257e6754d482462203d0eef907f.jpg
 
Hahahahaha kaka Mlevi mmoja. Huyu demu kwanza sio demu huyu ni tapeli. Namba yake niliipata humu jf kuna jamaa aliipost akisema anaitwa Cindy. Nikatirieika nae. Picha linaanza jamaa alisema yupo dar ila huduma analeta hadi mikoani ila siku namtext ananae yupo mkoa niliopo kaja kufanya interviewe.
Baada ya dakika kama kumi anaomba hela kula na vocha. Nikamwambia njoo nipo sehem flani ambayo nijirani sana na yeye aliposema kafikia akazma simu. Smu hapokei anataka text tu
 
[emoji16][emoji16]daah sio poa wengi matapeli ila njaa zikiwazidia wanaingia line wenyewe
Hahahahaha kaka Mlevi mmoja. Huyu demu kwanza sio demu huyu ni tapeli. Namba yake niliipata humu jf kuna jamaa aliipost akisema anaitwa Cindy. Nikatirieika nae. Picha linaanza jamaa alisema yupo dar ila huduma analeta hadi mikoani ila siku namtext ananae yupo mkoa niliopo kaja kufanya interviewe.
Baada ya dakika kama kumi anaomba hela kula na vocha. Nikamwambia njoo nipo sehem flani ambayo nijirani sana na yeye aliposema kafikia akazma simu. Smu hapokei anataka text tu
 
Asilimia 96 ya hao member wa badoo wana ID JF ndo mana nyuzi nyingi ni za malalamiko, ya siku ya pili tu hana hela ya kula.
 
Back
Top Bottom