Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Kama upo dsm madem wa badoo wapo kimboka usipate tabu ya kumaliza MB za cm chukua daladala ukanyambue manyoya kimboka
 
Yaani hadi kula malaya wa badoo unaomba ushauri, mbona ni rahisi sana aiseee.

1. Unaweza kutumi account ya kawaida tu, like picha yake akilikr back mnachat mnahamia whatsapp kinachofuata ni mtu kutafunwa na biashara inaishia hapo.

2. Unaweza kulipia ile subscription ili upate exclusive rights za kuwatumia meseji warembo moja kwa moja bila kusubiri alike picha yako, hapo unapata warembo wa kutosha kinachofuata happ ni mtafuno wa kufa mtu biashara inaishia hapo.

Binafsi nimefuta account yangu badoo sababu nimechoka malaya wa huko, pia mashoga, malaya wachafu wamevamia badoo inakua kero. Nakushauri uhamie tinder, tantan, nk. Ila eskimi, badoo, hitwe malaya wake uwe makini.

Ninafsi nimewahi kupata bahati ya kula watoto wazuri sana badoo, hitwe na tantan. Sasa niko tinder, meet me, namitandao kadhaa.

Ushauri: Usitume nauli kwa demu yoyote wa mtandaoni, usijaribu utaibiwa. Kama anataka kuja mwambie achukue boda utalipa au muitie uber, mademu wa badoo ni matapeli na mengine hua ni madume, usije kuhubutu kutuma nauli ndugu yangu.

Kila la heri.
Asante sana mkuu
Ningekuwa na hela ningekurushia ya supu
Hivi huko tinder na meetme kuna madem wa kibongo kwel???naonaga wengi Wazungu
Naomba unishauri which is the best dating site in Tanzania mimi nimejaribu Badoo tu
 
Asante sana mkuu
Ningekuwa na hela ningekurushia ya supu
Hivi huko tinder na meetme kuna madem wa kibongo kwel???naonaga wengi Wazungu
Naomba unishauri which is the best dating site in Tanzania mimi nimejaribu Badoo tu
Noo, the best kwangu ni tinder, you meet with real people.

Nenda kweye settings uweke distance filter na ikuletee mademu wa karibu na wewe. Ni wabongo watupu.
 
Hao wa badoo ndo hawa hawa wa mtaani, mi kuna mmoja nilimuona badoo nikamjua mana alikuwepo kwenye saluni ya kiume jirani na nilipopanga ila hakuwa akinifahamu, nikamzingua nikala kama mara 2 kisha nikakimbia
Hata mtaani na makanisani wengi tu wameathirika
 
Na pia ukiona mwanamke ameweka namba ya simu huyo ni mwizi we achana nae, mana ataishia kukutapeli tu
Yaani hadi kula malaya wa badoo unaomba ushauri, mbona ni rahisi sana aiseee.

1. Unaweza kutumi account ya kawaida tu, like picha yake akilikr back mnachat mnahamia whatsapp kinachofuata ni mtu kutafunwa na biashara inaishia hapo.

2. Unaweza kulipia ile subscription ili upate exclusive rights za kuwatumia meseji warembo moja kwa moja bila kusubiri alike picha yako, hapo unapata warembo wa kutosha kinachofuata happ ni mtafuno wa kufa mtu biashara inaishia hapo.

Binafsi nimefuta account yangu badoo sababu nimechoka malaya wa huko, pia mashoga, malaya wachafu wamevamia badoo inakua kero. Nakushauri uhamie tinder, tantan, nk. Ila eskimi, badoo, hitwe malaya wake uwe makini.

Ninafsi nimewahi kupata bahati ya kula watoto wazuri sana badoo, hitwe na tantan. Sasa niko tinder, meet me, namitandao kadhaa.

Ushauri: Usitume nauli kwa demu yoyote wa mtandaoni, usijaribu utaibiwa. Kama anataka kuja mwambie achukue boda utalipa au muitie uber, mademu wa badoo ni matapeli na mengine hua ni madume, usije kuhubutu kutuma nauli ndugu yangu.

Kila la heri.
 
Asante
Em nishushie hata top 3 bas hapa
Nyingine ni za kulipia na nyingine ni for serious relationship kama eharmony, happn na nyingine.

Ila kama unataka watoto wazuri wa kula nao good time na hata ndoa baadae anza na tinder, meet me, zoosk, tantan, match.com na nyingine. Unataka malaya waliokubuhu, mashoga nenda badoo, hitwe na eskimi, adam4adam, grindr na nyinginezo. Chagua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom