MARTIAL20
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 422
- 1,015
Nshatoa shuhuda huko juu pamoja na screen za chats la nitaongeza nyengine shuhuda na hawa Toto's ngoja niwavute wachache wa live streams
Mkuu naomba link ya telegram
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nshatoa shuhuda huko juu pamoja na screen za chats la nitaongeza nyengine shuhuda na hawa Toto's ngoja niwavute wachache wa live streams
Mkuu nimejaribu kuchoma ndani ya hii tinder naona kama wanataka nilipe 34,000/= per month, ndo iko hivo au nimeenda nyingine.Nakama ndio nalipajelipaje mkuu.NimedhamiriaNoo, the best kwangu ni tinder, you meet with real people.
Nenda kweye settings uweke distance filter na ikuletee mademu wa karibu na wewe. Ni wabongo watupu.
Mkuu nilipita nikaona Luna agizo kuwa niupfrade to gold ili nione Walio like, ndo wanamaanisha nilipie au?Noo, the best kwangu ni tinder, you meet with real people.
Nenda kweye settings uweke distance filter na ikuletee mademu wa karibu na wewe. Ni wabongo watupu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jephta2003, Nikichat nao napata ile personal touch hata siku nkikutana nae nakuwa na hisia nmekutana na mtu kwel
Ila wale wa Africa sana unafika hata jina humjui inakuwa kama upo na limdoli yani bora hata puli
Angalia pmMkuu naomba link ya telegram
Nshasababisha tayariMkuu ni pm na mim hyo link
Mademu wa badoo warahisi sana yaani ukigusa tu imooo
Hyo link jaman kwqn bei gani?
Nam naomba link mkuu pmAngalia pm
Nilizopiga zinafanya kazi zao za maana ila naona wamekua desparate na ndoa au relation
Wao ni kina nani wasijiuze ?Dadek hadi wakinga wanajiuza?
baharia em nifanyie na mm link hiyo tuone kama yaliyomo yamoWao ni kina nani wasijiuze ?
Hivi hii ni kweli eh?Kuna wengine hawajiuzi ila wapo desperate kuwa kwenye mahusiano
Sometimes unaweza sema wanataka wakufanye danga cha ajabu hata hawapigi vizinga
baharia em nifanyie na mm link hiyo tuone kama yaliyomo yamo
pamoja mkuuWe angalia pm yako
Hiyo ni kweli kabisaHivi hii ni kweli eh?
Kwahiyo ukiomba gemu anachomoa? Au ndio anaanza kuhubiri ndoa?
Hapana.
Ila badoo ilinishinda inataka niweke picha yangu halisi nika uninstall.
Wengine sisi ni watu na heshima zetu kwenye jamii na maarufu.
Nam naomba link mkuu pm
Usilipe, hela nyingi kwanza alafu hakuna exception ni mademu hawa hawa wa kawaida. Deal na wanaolike back tuMkuu nilipita nikaona Luna agizo kuwa niupfrade to gold ili nione Walio like, ndo wanamaanisha nilipie au?