KANYEGELO
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 2,238
- 4,885
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika jina la group unayotaka na yatakuja mengi tuu mkuu...mbona rahisiHivi unasearch VP kwwnye telegram mpaka unakutana na ma group mbona inakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika key word ya kitu unachotaka inakuletea options kibao.Hivi unasearch VP kwwnye telegram mpaka unakutana na ma group mbona inakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia hapa mkuuHivi unasearch VP kwwnye telegram mpaka unakutana na ma group mbona inakataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika key word ya kitu unachotaka inakuletea options kibao.
Mfano Technology
Ntamimina na watumishi wa Mungu huko ili vita ianze mara moja
Tinder kuna wanawake wazuri sana.Malaya wapo lakini pia kuna wadada wanaojielewa sana.Kuna demu nishawahi kukutana nae Badoo. Mpaka tunda nilikuwa nashukuru hakuwa kicheche
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niichekiTinder kuna wanawake wazuri sana.Malaya wapo lakini pia kuna wadada wanaojielewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha adi wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani aniuzie acc ya badoo? Nna shida ya haraka
Dah! Hilo choko!!!