Kuna siku niliangalia people nearby kwenye badoo nikakuta mtu yupo kwenye proximity ya kama 2km from nilipo, nikaset mipango nikaenda kutifua. Uzuri ile gesti ilikua ni kiwanja cha nyumbani so nikatumia home court advantage, nikamset mhudum wa vyumba nikalipia short time huku manzi nimempanga tutalala asijali. Wakati nimemaliza kula kimoko nikamwambia aniazime visendo vyake (dzain vilikua vya kike) niende fasta kwenye mpesa nikatoe hela,hapo nilikua nina raba zangu. Kumbe mi nshampigia hesabu kitambo, akasema aaah we vaa tu viatu vyako hivyo vyangu ni vya kike. Nika vaa raba zangu nikaenda kaunta nikamwambia mhudumu ampelekee bia mbili room nikamlipa. Kilichofuatia ni kumuachia manyoya, no. Nikablock na kuzima simu. Alichoambulia labda ni bia tatu jumla na chipsi mayai. Wakati ye alishapiga hesabu nalala nae hadi asubuhi namuachia 50
Sent using
Jamii Forums mobile app