Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Wale wazee wa kusafiri na kubook totozpopote pale nadhani huwa badoo inakidhi haja, kama unaenda R kwa mfano, unaset tu dish kule unaweka oder ukifika oyah oyah.

Unadhani kuna source gani nyingine kiboko ya badoo hapa bongo?
Ambayo pengine ina vitu vikali na vya kueleweka zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hi5, tinder, telegram badoo inasubiri

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Kaka, upo kwenye lile group ? Kule kuna connections za maana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha mfungo hiki [emoji38][emoji38][emoji38] nimefuta kila kitu mkuu, ufirauni wote nimeacha kwanza [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Wakuu connection vipi hapa mbona kimya? Natupia kiporo mkapashe thank me later
688631154
 
Kumekucha
JamiiForums576964256.jpg
 
Baada ya kujiunga Badoo nimegundua mambo haya

1. Wanawake waliopo kule hawajaweka picha zinazoendana na umri wao.

2. Wanawake wengi wanajiuza, ukianzisha story kidogo unaulizwa una Shililingi ngapi? Au utarushiwa namba, mnaingia whatsup anakurushia picha za aibu. Kupitia picha hizo ndipo nilipougundua hazina uhalisia na za Badoo. Wanawake wengi niliwapanga hadi bei na maeneo ya kukutana lakini baadae nawapotezea. Nilijitahidi kutowarushia picha zangu.

3. Wanawake wa kule waongo Sana.

4. Kuna ving'ang'anizi hasa wakijua kazi yako nzuri.

5. Nawapa Kongole wasichana wa Mwanza wengi walinikataa na kusema wao sio Malaya.

Ni hayo tu kwa leo
 
Back
Top Bottom