Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

@Don Juan mwamba nimekupa tuzo ya heshima kwenye hii sekta
Maisha haya!!
Tena niliwasahau kina
Chyna sweet
Kimdoli na yulee Madolari
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Maisha haya!!
Tena niliwasahau kina
Chyna sweet
Kimdoli na yulee Madolari
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Mkuu wewe ni hatare
 
Mkuu wewe ni hatare
Nikisema nikae chini nijaribu kuwakumbuka malaya wa kwenye hayo makundi ya Telegram mnaweza kuja kusema mimi ndio Firauni mwenyewe!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Nikisema nikae chini nijaribu kuwakumbuka malaya wa kwenye hayo makundi ya Telegram mnaweza kuja kusema mimi ndio Firauni mwenyewe!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Huyu tunu star ni yupi?
 
Nikisema nikae chini nijaribu kuwakumbuka malaya wa kwenye hayo makundi ya Telegram mnaweza kuja kusema mimi ndio Firauni mwenyewe!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Duuu aisee nimepitwa sana,
Au ndo kama yale magroup ya WhatsApp ambayo unasikia kuunganishwa 3000?
 
Ikihappen kuipata picha yake nitaituma humu.
Ni huyu?
IMG_20201101_070853_878.jpg
 
Huyu ni Slimthick marry
Mkuu unaona hadi ndani ya mask.
Heshima nyingi zikufikie, kuna mdada tulikua tunaishi naye jirani na yeye kazi yake ilikua hiyo hiyo.
Hadi masela wakamjengea nyumba Ina mlinzi na wafanyakazi wa ndani na bustani.
Kulikua na main dude ambaye akija mule ndani ni kimya ila asipo kuwepo kwa siku yanaingia magari matatu, manne.
alikua na kitoto chake cha kike, nacho kilikua kinatoa hatari
 
Mkuu huyo uliyemquote yeye mwenyewe alikuwa anamwambia jamaa mwingine kuwa ni muongo, sasa nashangaa na wewe umekuja kumwambia yeye ni muongo. Kumbuka kama huelewi kilichotokea hapo kuna nyuzi mbili ziliunganishwa. (Ukiona mtu ameandika chai maana yake anamaanisha ni uongo).
Doh tusameheane tu wakuu si unajua tena
 
Hivi ni Waivera Monini vile? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Hahahahahaha huyo huyo kapotelea wapi .

Huyu ndio alinivutiaga nilivozama kule Kati

Yuko wapi

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom