bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Naomba number yakeKusema ukweli kwenye huu mtandao pia wapo mademu wanaojielewa mm nimeopoa mmoja tuna mpango wa kussetle,tena yy mwenzang kaamua kufuta app yenyewe...she is ready for relationship na ni manzi mkali pini balaa...ila mwenyw hd sijiamini km kweli huyu duu kanikubali kiac hiki, nilichopanga kumuomba ni tuongozane nae kwanza tukapime then ndio mambo mbgn yaendelee[emoji122][emoji41]