Mwanamke aweza fanyika baraka?

Mwanamke aweza fanyika baraka?

Yani mtoa mada ulivyopoa [emoji23][emoji23][emoji23]Hadi kero mnakuwaga sio watundu kabisa nyie,, demu umemkuta na mtu na bado ukaendelea kujipendekeza [emoji1787][emoji1787]aina yako simtaki aisee
[emoji23][emoji23][emoji23] mi sikutaka Millard ayo anipost [emoji23][emoji23]
 
Eeeh sio tumekaa sebuleni tunaangaliana km waandishi wa habari wakimrikodi rais kwenye mkutano,, inatakiwa unibonyeze tako, unikonyeze,, ushike simu yangu uikague kague,, unitekenye unibusu,, nk namna hiyo yani
Hizo mbona nyingi, tu mimi naweza kuwa mtundu sana Ila sio simu ya mwanamke, ukifanya ujinga kwenye simu yako wa mkomoa nani?! That's your life ndo maana nikamuacha,

Ufanye ujinga mwenyewe afu nikifanya tukio mjinga nionekane mimi, never.

Fanya matukio yako fainali uzeeni tu, sitaki kuwa katili na kujipeleka jera kwa sababu za kipuuzi
 
We jamaa utakuja kuingia motoni bure tu. Mwanamke Ana roho ngumu sio wa kumchunga mtu kiivyo.
 
Hizo mbona nyingi, tu mimi naweza kuwa mtundu sana Ila sio simu ya mwanamke, ukifanya ujinga kwenye simu yako wa mkomoa nani?! That's your life ndo maana nikamuacha,

Ufanye ujinga mwenyewe afu nikifanya tukio mjinga nionekane mimi, never.

Fanya matukio yako fainali uzeeni tu, sitaki kuwa katili na kujipeleka jera kwa sababu za kipuuzi
Ulizingua we utamfumaje mwanamke wako alafu ukaendelea nae ukizingitai hamjaoana wanawake hawatakigi watu wastaarabu kupitiliza na wanaowaheshimu sana
 
Ulizingua we utamfumaje mwanamke wako alafu ukaendelea nae ukizingitai hamjaoana wanawake hawatakigi watu wastaarabu kupitiliza na wanaowaheshimu sana
Hili ni somo jipya kwangu, ningemuua nadhan ningekuwa kidume huko kuzimu labda
 
Chunviiii ati akamfuma alafu akaedelea nae? Mmmmh? Mwanaume wa bongo hii?😂
 
Back
Top Bottom