Mwanamke: Dalili kwamba very soon utaisaliti ndoa yako


Somo zuri,ila mbona hujasema ukiona ule motisha,hamu ya kuombea ndoa yako imepungua pia ni dalili?
 
Mie picha zako tu mtambuzi unazowekaga zinaendana kabisa na uzi hasa hiyo ya bidada amekaa kitandani na sura ya mawazo huku jamaa amepiga mbonji hana habari (inaendana na namba moja) ila namba 5 umetuchomekea wewe ni miongoni mwa wanaume wachache jasiri wa kutokea wake za watu na ukibisha naweka evidence kama zile picha za Capt Komba. By the way uzi upo poa ila kama kila mtu kwenye mahusiano tungeelewa kwamba kutofautiana mtazamo/mawazo/hisia ndo sifa kuu ya binadamu mahusiano/ndoa zingedumu
 
Hahaha wanaume kitovu cha mabadiliko! Sasa hapa unataka tuelewe nini?

mwanamke anamfumania mumewe afu anapigwa na mume na kutukanwa na hawara. Unataka mwanamke aelewe nini hapo?

mume anarudi usiku wa manane daily, na akirudi ananuna utadhani kang'atwa na manyuki na hakuvuna asali alikotoka! Mke aelewe nini hapo?

kisirani mwanaume kanuna kushinda mwanamke mjamzito. Hata kama anacheat basi mgao kwa mke uwepo, nehi nehi! Unategemea mwanamke aelewe nini hapo?


kama mmekaa mnasubiria mke atengeneze ndoa, agiza kahawa ya baridi (iced coffee) afu tulia hapo hapo
Somo zuri lakueleweka Mtambuzi ila hao wanawake wakukuelewa sijui wako wapi?
 
Last edited by a moderator:
Tatizo watu wanakosa upendo wakweli na uvumilivu ndiyo maana kunausaliti toka pande zote !
 
Madhara ya kuoana kwa kusukumwa na tamaa za mwili badala ya Upendo ndo haya,kukinaiana ,therefore michepuko plus hatari ya HIV/AIDS!.Sooo sad!
 
Hapo ndipo umesema kweli. &[HASHTAG]#304[/HASHTAG];la kwa mwanaume kucheat ni inevitable. kwahiyo wanaume tucheat re&[HASHTAG]#351[/HASHTAG];ponsibly. Baaas.
Mi si cheat na bado naisoma namba!
 
Mwanamke akiamua kukutesa dunia utaiona chungu mbona!
Ni kweli usemayo,ila kwanini akutese embu jitafakari umesimama kwenye zamu yako? Kichwa cha nyumba hakiwezwi kuteswa bali hutoa direction ambapo mwili wote utafuata,angalia ulikosea wapi? Kama hakuna ulipokosea basi huyo hakuwa ubavu wako, umechukua mbavu ya mtu mwingine kufit kwako itakuwa ngumu,basi tuombe rehema za Mungu tu na Neema yake mbavu hii ikitoshe.
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…