Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

Umeandika kwa hasira sana,kunywa kwanza maji mkuu
 
Kanywe Pepsi kwa mangi nakuja kulipa mkuu
 
Mwanaume maskini oa mwanamke maskini mwenzako na Mwanaume tajiri oa yeyote. Umeshindwa kujikomboa katika umaskini unataka kuoa mwanamke tajiri ili uongeze idadi ya maskini.
 
Haters watakuja kusema umeandika uzi kuwaponda wanawwke. Ila dah hii Hekima uliyomwaga hapa kama wanaume wataisoma na kuichukulia serious then tutaanza kuona wanaume wakianza kuwa imara kiuchumi na kiafya.

Kwa hali iliyopo sasa, wanawake wanakwepa sana majukumu yao kwa kisingizio cha kuwa jinsia dhaifu ila wakiona sehemu ya maokoto ghafla wanakuwa strong iron woman tena ambao wapo sawa kabisa na mwanaume.

Hizi manipulation za wanawake tuzishughulikie na kuzitokomeza kwa kuwapa elimu madogo na wanaume waliosalia ambao wanaweza kuepuka hii mikosi.
 
Mwanamke this, mwanamke that.. hamnaga content nyingine?? Kutwa mnalia lia kuhusu mwanamke, kumbe nyie sio vidume ehe?
Ukiona haujaelewa basi jua wewe sio mwanaume so topic haiwezi kukugusa kihivyo.

Kuna MEN SPACE NA WOMAN SPACE. Ukiona yanayoongewa hayajakugusa then jua sio contents zainazokuhusu.

Mfano sisi wanaume tuwakute wanawake mnaongelea changamoto ya mawingi feki au vipodozi feki au bei za saloon kimsingi sisi wanaume haitatugusa hata kidogo hiyo topic na hatutaona kuwa ni content ya maana kwetu.
 
Juzi nilikuwa Instagram na YouTube, kuna jamaa kutoka marekani ambaye huwa anasafiri mataifa mbali mbali na kushare experience ya hizo inchi ili watu wapate kuzifahamu na kufanya maamuzi ya kuzitalii.

Jamaa alipita mataifa ya afrika baada ya kutokea huko Caribbean, South America, Brazil na kadhalika. Sasa alipokuja afrika akakutana na balaa la Nigeria, South Africa,Kenya na Tanzania visiwani yaani Zanzibar na bara.

Jamaa alilalamika sana tabia ya watu kupenda kupewa pesa bila sababu hadi akahisi pengine mataifa haya yanatumia raia kukusanya kodi.

Alilalamikia sana wanawake kuomba hela kama entry ya mahusiano hata kama hajatongozwa.

Huyu ni mojawapo tu ila wapo raia wa mataifa mengi sana wanalalamikia hii tabia ya wanawake wa kibongo kuomba hela bila sababu kiasi kwamba wanaonekana ni aidha prostitutes au scammers.

Kuna haja ya kuliaddress hili swala.
 
Mleta uzi alisema mtakuja hapa haters na kweli umefika kwamba jamaa alichosmea amekosea si ndio.
 
Upo sahihi [emoji817]
 
Cc. Kwa wanawake wote mafukara TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
 
Sex is overrated in Africa. Mimi siwezi kukatisha ratiba zangu kwa shauku ya mbususu yaani demu hata akija geto anikute naangalia movie baada ya salamu inabidi atulie kuperuzi simu yake mpaka movie ninayoangalia iishe.
Utakuwa na matatizo ya homoni wewe, nenda kamuone Dr. Mwaka
 
Mwanamke ni reflection ya mwanaume. Kama mwanamke ni masikini na fukara maana yake mume wake pia ana hizo sifa mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ