Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

Mmekua kero na njaa zenu. Pamoja na serikali kufanya juhudi za kuondoa omba omba Dar tangu enzi za matonya ila kuna kundi kubwa sana la wanawake ombaomba mmesahaulika. Ishini maisha mnayoweza kuyamudu mahitaji yenu kulingana na aina ya maisha mnayotaka kuishi sio kumtupia mwanaume gharama za shida zenu na tamaa za kufukuzana na fashion za nguo na matoleo ya simu. Kwa namna yoyote ile ukitumia jinsia yako kupata financial leverage wewe ni kahaba tu.
Hao ambao wamekua kero kwann hamuwaambii,mnakuja kuandika humu?
Ujumbe hauwafikii🤣
Waambieni jmn
 
Sa
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Sasa wewe dada ndio umeamua kuwatukana wanawake wenzio namna hii?
 
Jamaa analolisema ni sahihi lakin kwa upande mwingine wanaume tulivyo ni ngumu kuwaepuka Wanawake wa hvyo

Hii iliwah nitokea niko na mchepuko uko full yaan umekamilika haswa na ananipenda sana,sasa kuna kipindi hali yake ya kiuchumi haikuwa poa ikabid mzigo niubebe mimi, baadae nilichoka nikataman nimwache,alinibembeleza sana akasema atapambana tu na Mambo yatakuwa sawa na ananipenda mimi hata nisipompa kitu,tukaendelea lakin nikaona kama hapana naumia kuhudumia familia na mchepuko kwa asilimia kubwa, baadae mchepuko alivyoona kama namchenga sana akapunguza kunitafuta siku moja nikakutana nae akanikaushia,aisee niliumia nikajikuta nimempenda upya na umasikin wake,sahv nipo najipanga nimpe mtaji tu apambane na maisha nipunguze mzigo ila nimejikuta siwez kumuacha
Utakuwa umelogwa sio bure. Kuna upendo halafu kunakuwa manipulated hadi unageuka kama zoba au kiazi. Ndio hii sasa.
 
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Uislam ni mwema sana, ulitufunza haya zaidi ya miaka 1,400 nyuma:

Mwanamke huolewa kwa sababu nne; Kwa mali yake, nasaba yake [ukoo], uzuri wake na Dini yake.

My take; Zaidi ya hayo inakuwa ni mapambo ya kujitakia mwenyewe tu.
 
Hao wanaume ni bahili tu
Ubahili kwa maana ya kwanza walikuwa hataki kuharibu pesa zao kwa kugawa hovyo kwa watu kwenye matumizi ambayo hayawahusu au sio kipaumbele chao au wabahili kwa namna gani?

Wewe binafsi hapo aje mwanaume atake uwe unampa pesa ya kuendea saloon anyoe ndevu na nywele na scrubbing, pesa za kununulia nguo zake, pesa za kutoka out na rafiki zake weekend, utaweza msapport ?

(kumbuka ajenda hapa ni ubahili kitu kibaya, usiniletee story za mwanaume hatakiwi kupewa pesa na mwanamke maana na sisi inauma kama inavyowauma ninyi kutoa, sasa kama nyie msipopewa mnaita wanaume bahiri basi na nyie ubahiri pia mnao so ngoma ndroo, usipoheshimu pesa ya mtu yeye hautamheshimu pia)
 
Uislam ni mwema sana, ulitufunza haya zaidi ya miaka 1,400 nyuma:

Mwanamke huolewa kwa sababu nne; Kwa mali yake, nasaba yake [ukoo], uzuri wake na Dini yake.

My take; Zaidi ya hayo inakuwa ni mapambo ya kujitakia mwenyewe tu.
Huwa tunawasaidia tu ila shida wanadharau na ujuaji mwingi ndio maana haya mengine yanatokea.
 
Na mwanaume fukara, masikini ni nini?
We umeona wapi mwanaume fukara akapata mwanamke wa kueleweka miaka hii?

Hili ndilo tatizo kubwa la wanawake wa sasa, kila kitu huwa mnawianisha kuangalia kama kwa mwanaume ni hivi kwa mwanamke inakuwaje.

Sasa hapo umeshindwa hata kuangalia hapo mtaani wanaume mafukara huwa wanakuwa na wanawake wa kueleweka miaka hii?
 
Mwanamke this, mwanamke that.. hamnaga content nyingine?? Kutwa mnalia lia kuhusu mwanamke, kumbe nyie sio vidume ehe?
Alie kuambia ukidume ni kujizolea kila mwanamke nani.......?

Men we have standards
 
Huu ni Uzi wa kipumbavu kuwahi kutokea , unaombaje msaada kwa mwanamke. Mambo ya usawa na gender ni mpango wa mashoga, wanawake kuwa bize na kazi badala ya kufanya malezi ni mpango wa mashoga kuendeleza kuua maadili mema
 
Wanalialia si hawana Hela
Wenye Hela na wanaojua majukumu Yao huwezi ona wanalialia , kulalamika...[emoji1787]

Halafu wanasahau mwanamke fukara /masikini na mwanaume fukara/masikini ni watu wawili tofauti!
Maisha ya mwanamke yanabadirila anytime

lione hili kausha damu
 
We umeona wapi mwanaume fukara akapata mwanamke wa kueleweka miaka hii?

Hili ndilo tatizo kubwa la wanawake wa sasa, kila kitu huwa mnawianisha kuangalia kama kwa mwanaume ni hivi kwa mwanamke inakuwaje.

Sasa hapo umeshindwa hata kuangalia hapo mtaani wanaume mafukara huwa wanakuwa na wanawake wa kueleweka miaka hii?
Ndugu wapo
Sema sio wengi km zamani!
Shida unamkubali km alivyo mkiinuka tu kidogo anakuona huna maana,hili nalo linachangia wanawake baadhi kuamua kuangalia pesa!

Lkn wapo!
 
Back
Top Bottom