Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

Mwanamke fukara na masikini ni tabu tupu mzigo mzito sana kwa mwanaume

Mwanamke ni reflection ya mwanaume. Kama mwanamke ni masikini na fukara maana yake mume wake pia ana hizo sifa mbili
Ndiyo maana Kuna usemi usemao "nyuma ya mafanikio ya mwanaume Kuna mwanamke". Hata uwe mchakatikaji kiasi gani kama mkeo ni kausha damu hutoboi".
 
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Kataa ndoa ndiyo neno lenye afya....
 

Attachments

  • 7oreq4 (1).jpg
    7oreq4 (1).jpg
    40.1 KB · Views: 6
Mkuu mm nakubaliana na ww lakin sio kwa asilimia 100.

Kuna familia unakuta mwanamke yupo vizuri kabisa financially lakin hayo yote uliyoyataja anayafanya.
Huyo Huwa akiolewa wazazi wao Huwa wanacheza kwa furaha. Maana umepunguza hasara/ liability ya familia
 
Basi utaolewa wewe ili ( Upate utajiri) ujengewe nyumba, ulishwe , Uvishwe maana unawaonea wivu.

Majukumu ya mke na mume yameainishwa hadi katika vitabu vya mungu.
kwa huyo mungu wako uliyemuandika hapo sawa. Ila kwa huyu Mungu wangu haipo hivyo,
 
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Awe masikini au tajiri

Mbususu tamu nyie
 
Haters watakuja kusema umeandika uzi kuwaponda wanawwke. Ila dah hii Hekima uliyomwaga hapa kama wanaume wataisoma na kuichukulia serious then tutaanza kuona wanaume wakianza kuwa imara kiuchumi na kiafya.

Kwa hali iliyopo sasa, wanawake wanakwepa sana majukumu yao kwa kisingizio cha kuwa jinsia dhaifu ila wakiona sehemu ya maokoto ghafla wanakuwa strong iron woman tena ambao wapo sawa kabisa na mwanaume.

Hizi manipulation za wanawake tuzishughulikie na kuzitokomeza kwa kuwapa elimu madogo na wanaume waliosalia ambao wanaweza kuepuka hii mikosi.
NAKAZIA
 
Unajua maana ya kuwa mwanamume? Sio mtoto wa kiume nazungumzia mwanamume!
Unajua maana ya mwanamume?
 
Wanaume tukishapata utelezi,hatujali Kuna nn upstairs,hata awe mbumbumbu wa mwisho lakini ana kitu mnato na anatoa Kwa wakati baasi anifilisi tu.Mfano mzuri the late tajiri Mengi.
Jamaa analolisema ni sahihi lakin kwa upande mwingine wanaume tulivyo ni ngumu kuwaepuka Wanawake wa hvyo

Hii iliwah nitokea niko na mchepuko uko full yaan umekamilika haswa na ananipenda sana,sasa kuna kipindi hali yake ya kiuchumi haikuwa poa ikabid mzigo niubebe mimi, baadae nilichoka nikataman nimwache,alinibembeleza sana akasema atapambana tu na Mambo yatakuwa sawa na ananipenda mimi hata nisipompa kitu,tukaendelea lakin nikaona kama hapana naumia kuhudumia familia na mchepuko kwa asilimia kubwa, baadae mchepuko alivyoona kama namchenga sana akapunguza kunitafuta siku moja nikakutana nae akanikaushia,aisee niliumia nikajikuta nimempenda upya na umasikin wake,sahv nipo najipanga nimpe mtaji tu apambane na maisha nipunguze mzigo ila nimejikuta siwez kumuacha
 
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Shida kubwa ya watu maskini ni ROHO MBAYA.
 
Mke
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Wangu alikuwa ni fukara lakini kwenye kila nilichonacho naweza kusema baada ya mungu ni yeye so usikariri bro.

Kuna wenzio walioa hao unaowaita wenye uwezo wasioweza hata kujifulia wasiojua kula hata kupika ugali
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Mimi na mke wangu tulikutana baada ya kuachana na mtoto tena alikuwa mtoto wa diwani fulani kipindi hicho reason ya kuachana ilikuwa sabab ni bibie kupenda mambo makubwa yeye kutumia 70k kwa siku ni kitu cha kawaida.

Nikahamia kwa muuuza bites wang, tukauza bites mpaka kufanya kazi ya bolt na chuo tukamaliza pamoja.

Naweza kudiriki kusema kuwa kila nilicho nacho leo basi sababu ya kukipata na kuwa nacho ukimtoa mung basi mwengine ni aliyekuwa kapuku mke wangu.

So brother hizo mind set za kusema kuwa tuoe hao wenye uwezo tuache wengine utakuwa unadanganya wengi sababu kama umeoa ukishakaa na mtu ndani ya mwaka 1 ndo utaelewa thamani ya upendo na thamani ya pesa katika ndoa
 
Juzi nilikuwa Instagram na YouTube, kuna jamaa kutoka marekani ambaye huwa anasafiri mataifa mbali mbali na kushare experience ya hizo inchi ili watu wapate kuzifahamu na kufanya maamuzi ya kuzitalii.

Jamaa alipita mataifa ya afrika baada ya kutokea huko Caribbean, South America, Brazil na kadhalika. Sasa alipokuja afrika akakutana na balaa la Nigeria, South Africa,Kenya na Tanzania visiwani yaani Zanzibar na bara.

Jamaa alilalamika sana tabia ya watu kupenda kupewa pesa bila sababu hadi akahisi pengine mataifa haya yanatumia raia kukusanya kodi.

Alilalamikia sana wanawake kuomba hela kama entry ya mahusiano hata kama hajatongozwa.

Huyu ni mojawapo tu ila wapo raia wa mataifa mengi sana wanalalamikia hii tabia ya wanawake wa kibongo kuomba hela bila sababu kiasi kwamba wanaonekana ni aidha prostitutes au scammers.

Kuna haja ya kuliaddress hili swala.

Hao wanaume ni bahili tu
 
wanawake fukara na masikini chanzo cha wanaume wengi kufilisika na kufa mapema na wakati mwingine chanzo cha watoto kuwaona baba zao wabaya, ewe mwanaume epuka kuongoza nao huu ni mzigo mzito siku zote za maisha yako na hakuna rangi utaacha kuona hapa duniani

ndugu wana Jf na wasio wana Jf huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawatotaka kuusikia na baadhi ya wanaume laini laini na wanaojiona kuwa na huruma juu ya hivi viumbe watakuja hapa nakuoinga ukweli huu

Ijulikane thamani ya mtu haraka haraka inafungamana na alio nao japo mtabisha, wanawake fukara na masikini siyo wakuongozana nao wala kushikamana nao kabisa watakushushia thamani yako kwa namna yeyote ile iwe kwa kupigwa mizinga ,kulogwa, na hata kulishwa limbwata na akishindwa atakuua mazima abakiwe na mali. Hawa siyo wa kuoa au kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi au urafiki au vyote kwa pamoja kama wewe mwanaume kweli ni mpenda maendeleo na unapenda afya yako ya akili.

usijidanganye na wala wasikudanganye jukumu la mwanaume ni kuhudumia au kuwajibika ukaingia mkenge na kujitwika mzigobwa fukara na masikini nakuanza kusota nao huku ukizisingizia mbingu zimekulaani kumbe wewe mwanaume ndiye uliyejilaani mwenyewe kwa kukosa maarifa

kumbukeni neno hili ili mwanamke awe mke mwema na mama bora ni lazima awe na kipato haijalishi ni kiasi gani, asiwe mvivu na afanyekazi za mikono yake mwenyewe kwa moyo ili kumuingizia kipato binafsi cha kuweza kuwawezesha nyie kusonga mbele halikadhalika na kumuimarisha zaidi kuwa msaidizi mwema kwako ndani ya ndoa nasiyo vinginevyo kwa kujigeuza kuwa mzigo akizania anakuoffer mbususu ya bure.

Mwanamke fukara na masikini atakusaidia nini zaidi ya kukurudisha nyuma kimaendeleo na kukuacha na umasikini wako na tabu zako usote ,uchakae , udhalilike vya kutosha, akukimbie na mwishowe ufe ukachomwe moto.

Nayasema haya kwasasabu ya kuokoa kizazi chetu wanaume tumepungua sana tunaisha na yote yanasababishwa na wanawake fukara na masikini

**Mwanamke fukara na masikini atakutenganisha na wazazi wako akiwemo wa kwanza kabisa ni mama yako, ndugu zako na marafiki zako, atahakikisha anakufarakanisha na kwenu ili uone kwenu ni wa baya uwasahau na uwatenge ndugu zako na wazazi wako, atakuambia mama yako ni mbaya lengo ni usipeleke hela kusaidia wazazi wako ili azifaidi yeye mwenyewe

**Mwanamke fukara na masikini atawalisha wanao sumu ili wamchukie na kumuona baba yao ni mzigo anamtesa mama yao, watato watafundishwa kumuona baba ni mbaya siku zote, tena atawaambi watoto wako kuwa baba yenu ametutelekeza na ana mwanamke mwingine hatutaki tena kumbe siyo

**Mwanamke fukara na masikini upeo wake wa kufikiria ni mdogo, finyu na wakati mwingine hata akili unaona kabisa haipo, hana cha maana anachofikiria zaidi ya kutwa kucha kuwaza haki sawa, kuwaza anakupea mbususu , anakupikia, kuchota maji, kutunza nyumba mara kukuzalia na kukutunzia watoto, anajidanganya na kukuoumbaza kwa haya , huu ni uchawi anakuloga kimbia mwanaume

**Mwanamke wa sampuli hii hana kabisa cha kukushauri zaidi ya kukupigia makelele ya ugomvi mara umbea wa wanaume matajiri na wake zao, marafiki zake waliojipata, kuwaonea wivu husuda na hata kufanya ushirikina ushirikina ili aweze kukudhibiti mwanaume na kukutenga na marafiki zako

**Mwanamke fukara na masikini kutwa kucha kudhurura kudanga, kubadikisha fasheni, tamaa mbaya, na kukulinganisha na familia zingine zenye uchumi imara huku akikuona wewe huna lolote kwake badala ya kukusaidia kusonga mbele

** Mwanamke fukara na masikini hafai kabisa ni mzigo kwa mwanaume, atakubebesha gunia la kwao usaidie wazazi wake, usomeshe ndugu zake na mara ujenge kwao, kutwa yeye ni kuwaza kuichezea akili ya mwanaume ili akajinufaishe nyumbani kwao huko alipotokea, atahakikisha mwanaume unasahau nyumbani kwenu unawaza kwao tuu

** Mwanamke fukara na masikini hafai, kudanganyika ni rahisi mno maana amejaa tamaa mbaya ni msaliti wa hovyo hovyo maana kichwa chake kimejaa mizagamuano na namna atakayo kupea yote ili uzidi kufilisika kwa kukupumbaza na nyapu yake, na wakati mwingine anakuona wewe ndiye unaye mkwamisha siyo mwanaume sahihi kwake.

**Tuliambiwa asiyefanya kazi na asile yeye ni nani hafanya kazi na anakula, asijekujitetea anafanya kazi za nyumbani atoke akatafute kipato maana majukumu ya nyumbani sizo kazi tulizo amriwa ili tule, lazima afanye kazi ya kusokota, kulima, biashara na kadhalika ili apate mapato halali akusaidie pale ulipo kwama, huyu fukara na masikini atakudanganya akijifanya hana nguvu ni dhaifu ili usote mwenyewe alafu uchakae akuache na akucheke

** Mwanamke fukara na masikini upeo wake nifinyu nani rahisi sana kumuibia mume wake chenchi za mboga , pia ijulikane mwanaume siku ukikosa huyo masikini wako na fukara uliyenaye hana cha kukusaidia zaidi mtalala njaa na atakulaumu kwa kuona wewe mwanaume hujui majukumu yako umemlaza yeye na watoto njaa kumbe yeye ni mzigo mkubwa kwako na alipaswa kukusaidia ukikwama.

**Mwanamke masikini nirahisi kukuletea magonjwa ndani huyo hafai achana nae atakuua mapema, yeye kazi yake kubwa ni kukucompare na wanaume wengine, kugawa kila kukicha , ni msaliti wa hovyo , mwepesi mno kudanganyika ma wenye nazo hafai kimbia kabisa

Mwanamke fukara masikini hafai ni mzigo , na hana sifa za kuwa mke mwema wala msaidizi mwema kwa mwanaume, epuka mwanamke fukara , epuka mwanamke masikini
Na mwanaume fukara, masikini ni nini?
 
Mke

Wangu alikuwa ni fukara lakini kwenye kila nilichonacho naweza kusema baada ya mungu ni yeye so usikariri bro.

Kuna wenzio walioa hao unaowaita wenye uwezo wasioweza hata kujifulia wasiojua kula hata kupika ugali

Mimi na mke wangu tulikutana baada ya kuachana na mtoto tena alikuwa mtoto wa diwani fulani kipindi hicho reason ya kuachana ilikuwa sabab ni bibie kupenda mambo makubwa yeye kutumia 70k kwa siku ni kitu cha kawaida.

Nikahamia kwa muuuza bites wang, tukauza bites mpaka kufanya kazi ya bolt na chuo tukamaliza pamoja.

Naweza kudiriki kusema kuwa kila nilicho nacho leo basi sababu ya kukipata na kuwa nacho ukimtoa mung basi mwengine ni aliyekuwa kapuku mke wangu.

So brother hizo mind set za kusema kuwa tuoe hao wenye uwezo tuache wengine utakuwa unadanganya wengi sababu kama umeoa ukishakaa na mtu ndani ya mwaka 1 ndo utaelewa thamani ya upendo na thamani ya pesa katika ndoa
Huyo Hana analolijua!
Story za vijiweni analeta hapa,wakati kiuhalisia haiko hivyo anavyoongea
 
Yani kuna wanaume mazuzu kweli, Hivi ndivyo ulivyofundishwa huko kwenu.?
Wewe kama mwanaume unatakiwa kazingatia mwanamke wa kuoa yule aliye na akili timamu ( kichwa kipo vizuri), mwenye maadili mema yenye kumpendeza Mungu na jamii kwa ujumla na umpende kweli (Mrembo machoni mwako).
Suala la kutafuta pesa ni wewe mwanaume ni jukumu lako unatakiwa umlishe, umvishe na umtatulie shida zake. Mwanaume ukishaanza kutegemea kipato cha mwanamke wewe bado ni zuzu na hujakamilika labda itokee tu kwa upendo wake akusaidie.
Mwanaume wewe ndio unatakiwa uumize kichwa watoto unawalipiaje ada ya shule, Unaanzishaje mji wako ( kujenga nyumba ya familia yako) na sio kutegemea eti uoe mwanamke mwenye kazi aje akusaidie hayo majukumu utakua ww ni zuzu.
Wazazi wetu wangekua na akili kama zako wasingeoana maana wengi walikua masikini.
🤝🤝Tuna wanaume wachache sana!
Kwanza ukishaona mwanaume analalamoka,au anatafuta mwanamke mwenye uwezo ,hamna kitu hapo!
 
Mwanamke this, mwanamke that.. hamnaga content nyingine?? Kutwa mnalia lia kuhusu mwanamke, kumbe nyie sio vidume ehe?
Wanalialia si hawana Hela
Wenye Hela na wanaojua majukumu Yao huwezi ona wanalialia , kulalamika...🤣

Halafu wanasahau mwanamke fukara /masikini na mwanaume fukara/masikini ni watu wawili tofauti!
Maisha ya mwanamke yanabadirila anytime
 
Back
Top Bottom