Mwanamke hajaumbwa kumtegemea mwanaume bali mwanaume ndo kaumbwa amtegemee mwanamke

Mwanamke hajaumbwa kumtegemea mwanaume bali mwanaume ndo kaumbwa amtegemee mwanamke

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nimekuwa nikifatilia Sana maswala ya mahusiano Kwa nyakati tofauti .

Leo napenda kugusia hili eneo ambalo watu wengi hawalifahamu kuhusu 'KUTEGEMEA'

Binadamu wote kimaisha wanategmeana aliyenacho na asyekuwa nacho.

Ila linapokuja swala la MAISHA ya mahusiano kifamilia , basi mwanaume anamtegemea mwanamke.

Katika universe (ulimwengu) mwanamke sifa yake huwa ni earth au ardhi.

Mwanamke ni ardhi :- na sifa za ardhi ni kubeba kila aina ya uchafu na kila aina ya usafi ardhi inabeba, Mikojo , umo -umo mbolea na umo umo mazao .

Hivyo viwango vya uvumilivu vipo zaidi Kwa mwanamke na sio mwanaume.

Mwanaume huwa anaoa Ila atakayebeba jukumu la kuendesha ndoa huwa ni 'MWANAMKE'

Je , zipi sababu ambazo hupelekea wanaume kufa mara tu wake zao wakitangulia !?.

Jibu litakuja kuwa mwanamke ni ardhi na ardhi huwa inabeba , mwanamke kimaahusiano huwa anambeba mwanaume.

Hivyo mwanamke yoyote akianzisha harakati za kulikataa jukumu lake na kuamini kuwa hana uwezo wa kuendesha maisha yake hadi apewe support na mwanaume 100% basi hapo ndo utasikia mwanamke analalamika au kujisifu kuwa anatunza familia , jambo ambalo sio sahihi.

Najua kuna watu waliwapoteza wazee wao Baba Ila mama zao waliwapambania hadi wamefanikiwa.

Kwa bahati mbaya Sana Dada zetu wa Leo wamekuwa dhaifu Sana mpaka kupelekea mtoto mmoja analelewa na baba zaidi ya watatu that is hell.

Kuelekea 2025 ni muhimu wanawake wakajua kuwa wamepewa hazina kubwa Sana kwahiyo ni kuitumia tu vizuri.

Happy new year in Advance
 
Kiongozi mbona umechanganya mambo?

Wanawake ni tegemezi kwa wanaume katika mambo mengi.
 
Nimeona wasukuma wa vijiji vya ndani hufanya hivyo. Anakuwa na wake kadhaa kina mtu na boma lake
 
Nimekuwa nikifatilia Sana maswala ya mahusiano Kwa nyakati tofauti .

Leo napenda kugusia hili eneo ambalo watu wengi hawalifahamu kuhusu 'KUTEGEMEA'

Binadamu wote kimaisha wanategmeana aliyenacho na asyekuwa nacho.

Ila linapokuja swala la MAISHA ya mahusiano kifamilia , basi mwanaume anamtegemea mwanamke.

Katika universe (ulimwengu) mwanamke sifa yake huwa ni earth au ardhi.

Mwanamke ni ardhi :- na sifa za ardhi ni kubeba kila aina ya uchafu na kila aina ya usafi ardhi inabeba, Mikojo , umo -umo mbolea na umo umo mazao .

Hivyo viwango vya uvumilivu vipo zaidi Kwa mwanamke na sio mwanaume.

Mwanaume huwa anaoa Ila atakayebeba jukumu la kuendesha ndoa huwa ni 'MWANAMKE'

Je , zipi sababu ambazo hupelekea wanaume kufa mara tu wake zao wakitangulia !?.

Jibu litakuja kuwa mwanamke ni ardhi na ardhi huwa inabeba , mwanamke kimaahusiano huwa anambeba mwanamke.

Hivyo mwanamke yoyote akianzisha harakati za kulikataa jukumu lake na kuamini kuwa hana uwezo wa kuendesha maisha yake hadi apewe support na mwanaume 100% basi hapo ndo utasikia mwanamke analalamika au kujisifu kuwa anatunza familia , jambo ambalo sio sahihi.

Najua kuna watu waliwapoteza wazee wao Baba Ila mama zao waliwapambania hadi wamefanikiwa.

Kwa bahati mbaya Sana Dada zetu wa Leo wamekuwa dhaifu Sana mpaka kupelekea mtoto mmoja analelewa na baba zaidi ya watatu that is hell.

Kuelekea 2025 ni muhimu wanawake wakajua kuwa wamepewa hazina kubwa Sana kwahiyo ni kuitumia tu vizuri.

Happy new year in Advance
Wake zetu wakifa tunayumba sana
 
Wanawake ndio tegemezi Kwa wanaume Kwa 95.5%!!

Hakuna mwanamke bila mwanaume akawa na power yoyote lazima nyuma yake Kuna mwanaume.
 
Daa yaan nmecheki title ya uzi then nkascroll kidogo content nkahisi poz la popo mtini, ikabidi ncheki ID ya mtoa uzi ndo nika data kabsaa!. Anyway huo ujumbe mkawafundshe huko kwenye vikoba vyao na kwenye siku zao (maana hawa viumbe wana sku zao kibaoooo)
 
Hata Mfalme wa pori Simba mbughani kazi yake ni kutia ulinzi na uongozi wa familia kwa wakeze na watoto na sio kutafuta chakula.
Kazi ya kutafuta chakula ni ya mwanamke.
Na Simba huwa wako na ndoa ya mitala.
Na Wakeze walivyo na adabu wakifanya winda na kupata vitowe wanaleta nyumbani wanamtengea mume wao kwanza aleee ashibe na jamaa huwa anapenda sana nyama za ndani ya mnyama kama vile maini, figo , n.k
Akishiba ananyanyuka anapisha Wałęsę wale na watoto wao.
Oneni Utukufu wa Mungu ulivyo Mkuu .
Hao ni wanyama lakini wana utaratibu wa maisha.
Kwanini binadamu wamekuwa wa hovyo siku hizi na kutaka empowerments za kila aina kwa wanawake na kuwajaza viburi ??! 🤔🤔
 
Back
Top Bottom