Mh yaani mfano sasa hivi nampigia simu mama Shani halafu natamka tu 'Talaka' 'Talaka' 'Talaka' nakata simu na kazi imeishia hapo?Yani wewe ni kutamka tu TALAKA TALAKA TALAKA..... mchezo umeisha hapo
Sophy mbona una busara kiasi hichi na hatujapata nafasi ya kua marafiki bado?Utakuwa hujasoma wew ukaelewa
Hakunaga huo upuuz na mwanamke anaejua maana ya ndoa haachwi na mwanaume hawez mfukuza mkewe kwa kusema talaka hakuna Sheria hiyo
Na Kama thamani inaonekna kwa kupimwa hivo kunawanaume wanaotoa talaka kwa kudaiwa talaka na wake zao kwaiyo tusema wanaume hawana thamani??
Ndio maana yake hio.Mh yaani mfano sasa hivi nampigia simu mama Shani halafu natamka tu 'Talaka' 'Talaka' 'Talaka' nakata simu na kazi imeishia hapo?
Usipingane na maandiko matakatifu, kila kitu kipo wazi.Utakuwa hujasoma wew ukaelewa
Hakunaga huo upuuz na mwanamke anaejua maana ya ndoa haachwi na mwanaume hawez mfukuza mkewe kwa kusema talaka hakuna Sheria hiyo
Na Kama thamani inaonekna kwa kupimwa hivo kunawanaume wanaotoa talaka kwa kudaiwa talaka na wake zao kwaiyo tusema wanaume hawana thamani??
Hasira za kupewa talaka hizi πππModern men hampendi wanawake cause wengi wenu ni mashoga.... live your truth today!
Pls lemme have your digitsModern men hampendi wanawake cause wengi wenu ni mashoga.... live your truth today!
[emoji38][emoji1787] Ni kweli kwa maneno hayo tu ndio umtoe? Wapo wengine sugu. Unaweza kukuta anakimbilia kwenye dawati la jinsia ukakuta wewe ndio unatoka kwenye nyumba mliyojenga kwenda kupangaKwa hiyo utamke talaka, talaka, talaka mwanamke aende kwao.......hujawajua wanawake wewe, unaweza kujikuta wewe ndo umechapa lapa yeye akaendelea kujivinjari na watoto wake.
Hata Mwanamke akiomba talaka yake mara tatu hakuna ndoaKwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo.... Ukiachana na talaka halali pale mwanamke akikosea, kuna muda mwanaume anaweza kutaka tu kumfukuza mke wake, hapo akitamka tu Talaka mara 3 basi mwanamke anarudi kwao huko ndoa imeisha
OK. Kwa chiki zako unafundisha na wengine chuki, wacha wajenge chuki kwa sababu zao binafsi.usihangaike kumjibu huyo, hapo utaanza kuulizwa maana ya Magnitude
Kwa sheria gani? Taratibu za talaka kwa.mujibu wa sheria ya ndoa ya Tanzania haitambui huo utaratibu mbovu na wa kizamani wa kiarabu wa kuvunja ndoa. Ndoa ina utaratibu wake wa kufunga na sheria imeweka utaratibu mahususi wa kuivunja tena kupitia procedure mbalimbali ambazo ni complicated otherwise onachokiita ni ndoa cha kuvunjwa kwa matamko matatu ya upaande mmoja wa mkataba sii ndoa bali ni concubinege. Ndoa ni tendo takatifuKwa hakika mwanamke ana thamani ndogo mnoooo.... Ukiachana na talaka halali pale mwanamke akikosea, kuna muda mwanaume anaweza kutaka tu kumfukuza mke wake, hapo akitamka tu Talaka mara 3 basi mwanamke anarudi kwao huko ndoa imeisha
Kumbe hii ni kwa mujibu wa dini ya mnyaaazi, sikujua yakheeee........hebu kamata hapo gahawa na kashata ushalipiwaaaa.......Huyo atakuwa na kiburi na hana adabu, anakuwa kinyume na maandiko matakatifu katika uislam
Kwa sheria gani? Taratibu za talaka kwa.mujibu wa sheria ya ndoa ya Tanzania haitambui huo utaratibu mbovu na wa kizamani wa kiarabu wa kuvunja ndoa. Ndoa ina utaratibu wake wa kufunga na sheria imeweka utaratibu mahususi wa kuivunja tena kupitia procedure mbalimbali ambazo ni complicated otherwise onachokiita ni ndoa cha kuvunjwa kwa matamko matatu ya upaande mmoja wa mkataba sii ndoa bali ni concubinege. Ndoa ni tendo takatifu
Nani kakwambia akitamka talaka tatu ndoa hakuna na hakuna talaka tatu za hivoUsipingane na maandiko matakatifu, kila kitu kipo wazi.
Mwanaume ambae yupo kwenye ndoa kapewa mamlaka kufuta ndoa pale akitamka talaka mara 3 (talaka tatu), hapo ndoa hakuna tena, mwanamke anaondoka.
Ingia hata google ucheki triple talaq
[emoji23][emoji23][emoji23]Hasira za kupewa talaka hizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Na ukija hata kwangu ukizingua kidogo tu ntakohoa kama harmonize koh koh koh, kifuatacho ntasema talaka talaka talaka......
Shughuli imemalizika hapo
Ni Hadi mwanaume aridhie kutoa Kama akiwa hataki unaruhusiwa kushtaki mahakama ya kiislamu au baraza la kiislam Kama kutakuwa na sababu za kudai ni za wazi na hazipingiki anaitwa mumeo akupe kma hataki unapewa Kam hauna sabbu ya kudai umechoka tu kupika ugali [emoji23][emoji23]unarudisha mahali ya watu ukapumzike[emoji38][emoji38]Hata Mwanamke akiomba talaka yake mara tatu hakuna ndoa