Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...


Nilivyokwambia unielimishe nikajua utanipa knowledge muhimu ambayo nilikuwa sijui kabisa, kumbe unakuja kuniandikia uongo uliojaa pumba tupu

Hebu soma tena hiyo paragraph yako ya pili kisha ujitafakari kama ulichokiandika kina maana halafu baada ya hapo ujutie muda wako uliopoteza kuandika hii comment.
 
Women always are dynamic
 
Hivi Lizarazu unadhani unamdanganya nani unavyopinga hivyo? Mimi nimeshasema siwezi kuamini maneno yako wewe mwanaume mmoja ya kupinga hayo ninayoyaongea wakati mimi mwenyewe nimeshayashuhudia kwa macho yangu kwenye mahusiano mengi kutoka kwa wanaume wengi I always speak from experience and not assumptions!
 
Hawa nimeshawazoea wakishaona wameishiwa hoja wanaanza oh tuna stress, mara ni single mothers, malaya na makahaba tumeachwa ati feminists sijui super women mimi nimeshasema waite majina yote ila hawataweza kuubadilisha ukweli huwa nawaona kama wanajifurahisha tu

Ndiyo maana mimi sijawahi kupanic kuitwa hayo majina maana najijua siko hivyo sasa nihangaike kupanic na kujitetea kwao ili iweje? Jambo la ukweli siku zote ndiyo linalouma ila siyo la kusingiziwa hasa kama unasingiziwa kwa watu ambao hawakujui hata unafananaje achilia mbali tabia!
Hoja zimemuisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kama hujapanic ni kitu gani kinakutoa povu mamii😁😁😁
 
Ukiona hivyo ujue point zimeisha[emoji3][emoji3].wataanza kuku attack mwenyewe sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…