Mbona hata wewe huwa unaconclude kuwa wanawake Ni wasumbufu kwa kutumia sample zako chache!??
Huyu sio atheist Wala Nini..
Anatafuta pa kujifichia baada ya kuishiwa hoja kabisa... Na amemtaja kiranga ili abadili Mada..bahati nzuri huyo kiranga Wala hajakuja kumsaidia[emoji2].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeah naona anataka tubadili mada tuanze kubishana kuhusu Mungu na hata huyo Kiranga naye hana lolote ukitaka kujua wewe siku moja soma hoja zake uzielewe halafu umbane na maswali azielezee zile hoja zake kiundani uone kama atakujibu
Zurri ndiyo huwa anampatia kumuuliza maswali kiundani hadi anakimbia yaani huwaga anaandika hoja zake kwa kukariri na maswali yake kila siku ni yale yale hata watu wampe majibu gani kwa kifupi naweza kusema kuwa hakielewi anachokiandika anakariri halafu anakuja kudanganya watu humu na wanaamini wewe jaribu kufuatilia hoja zake uone
Na jamaa wa toyo wanawanufaika Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Gotta be real with it, yupHebu Huko
Gotta be real with it, yup
Marianah, do you love me? Are you riding?
Say you'll never ever leave from beside me Cause I want ya, and I need ya
And I'm down for you always.
Hahaa kumbe @Edelyn kabadili jina, ndio maana simpati, ila comment zake zinamtambulishaEdelyn katika jina jingine hahaaa...we usipoolewa na mimi basi Wanaume watanyanyasika tu kwako, yani unahitaji kuwa na Kidume kama mimi ili nikutibu matatizo yako kimahaba na kisaikolojia [emoji4]
Hahaa kumbe @Edelyn kabadili jina, ndio maana simpati, ila comment zake zinamtambulisha
Uko sawaUkitaka usipate tabu na hawa watu, ukiwa naye jione kama haunaye na ukiwa haunaye jione kama unaye. Sheria hii ni muhimu sana, watakuheshimu ukiwapata na hutopata tabu ukiwakosa
Mwanamke unavyozidi kujishuka kwake ndio uwezekano wa kumweka chini ya himaya yako unapungua ila ukizidi kujiweka kama usiejali atazidi kukutafuta
Siyo wanawake wote mkuu
Nani mwanaume au mwanamke??Ww unaona bora mnyenyekevu au katili