Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

Yaani wanawake tukiwaponda wanaume tuna stress ila wanaume mkiwaponda wanawake ni sawa? Kazi ipo!
dont stress yourself the thing is love have two faces the good one and the bad one and everyone have face it either of the two faces so anybody whether its a woman or man have right to talk and it depends of what face of love did they see...ndo maana utakuta mwanaume anacomplain yake na mwanamke naye anacomplain yake but the truth is love is beautiful its the people who make it looks bad
 
Siyo wapumbavu, wanafanya hivyo kwa sababu wanajua kuwa duniani binadamu tunatofautiana siyo watu wote ni wazuri na siyo watu wote ni wabaya ukitendwa na mwanaume mmoja au mwanamke mmoja haimaanishi kuwa wanaume au wanawake wengine wote wako hivyo ninyi wanaume ndiyo mnalazimisha huo msemo wa sijui baba mmoja sijui wote wale wale kwa mitazamo hiyo lazima muishie kuwa malaya tu hamna namna
ukiona mtu anapesa halafu anateswa na mapenzi ujue kaanzia mapenzi ukubwani huyo na hajapitia mikiki mikiki ya mapenzi...mwanaume akisha penda akapitia shuruba za hapa na pale basi amemaliza atakayekuja manamke yeyote yule hawezi kumkaa kichwano halafu ujumlishe na pesa ...huyo ni mpumbavu anakuwa kwama mwanamke ,maana mwanamke atatendwa leo kesho anakuwa na mwanaume mwingine na yeye anamwamini asilimia mia anatendwa tena anahamia kwa mwingine na anasahau kabisa...kuja kukituliza unakuta ana watoto wa 3 na mama mtu mzima anakuwa muhamasishaji wa haki za wanawake
 
Siyo wapumbavu, wanafanya hivyo kwa sababu wanajua kuwa duniani binadamu tunatofautiana siyo watu wote ni wazuri na siyo watu wote ni wabaya ukitendwa na mwanaume mmoja au mwanamke mmoja haimaanishi kuwa wanaume au wanawake wengine wote wako hivyo ninyi wanaume ndiyo mnalazimisha huo msemo wa sijui baba mmoja sijui wote wale wale kwa mitazamo hiyo lazima muishie kuwa malaya tu hamna namna
you dont know how a man minds works ni tofauti sana na unavofikiria na usije kuwaamini tumeumbwa na roho ngumu ..tofauti na mwanamke
 
Naona umejaribu kukwepa swali langu ndugu
dont stress yourself the thing is love have two faces the good one and the bad one and everyone have face it either of the two faces so anybody whether its a woman or man have right to talk and it depends of what face of love did they see...ndo maana utakuta mwanaume anacomplain yake na mwanamke naye anacomplain yake but the truth is love is beautiful its the people who make it looks bad
 
Kwani hao wasio na bikira nao walitolewa na kina nani? Kwanini kila mwanaume asingekuwa anaoa mwanamke aliyemtoa bikira? Halafu tangu umeanza kupigia promo habari za bikira ni wanaume wangapi wamekusikiliza wakafuata ushauri wako na wakafanikiwa?

Maana sijawahi kuona hata wanaume wenzio wakikuunga mkono japo kwenye comments zako tu achilia mbali kufuata ushauri wako nahisi hata wao watakuwa wanaona unaongea pumba haujui kutetea hoja zako yaani eti swala la mafanikio ya mwanaume unalihusisha na bikira ya mwanamke? Wasted Sperm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I might be a woman but I know a lot about men

Yaani wanaume mmeshajiwekea kwamba mkiwa kwenye mahusiano basi mwanamke anatakiwa awe malaika yaani asikukosee wala asikasirike yaani muda wote awe sawa na mwenye furaha ili akupetpet na akuliwaze wewe tu hata kama umemkwaza au umemfokea yeye atabasamu na acheke tu

Na ikitokea kipindi anakuwa kinyume na hivyo basi tayari anaanza kuonekana mjeuri na kiburi kwamba analeta dharau na kejeli hivyo hafai kuwa mke na anastahili kuchezewa

Ila mwanaume hata akiwa malaya, mkorofi, mnyanyasaji na asiyejali haina shida na mwanamke anatakiwa amvumilie tu maana yeye ni mwanaume na yuko tofauti na mwanamke, ndicho wanaume wengi wa kibongo mnachokitaka kwenye uchumba na ndoa hicho
you dont know how a man minds works
 
I might be a woman but I know a lot about men

Yaani wanaume mmeshajiwekea kwamba mkiwa kwenye mahusiano basi mwanamke anatakiwa awe malaika yaani asikukosee wala asikasirike yaani muda wote awe sawa na mwenye furaha ili akupetpet na akuliwaze wewe tu hata kama umemkwaza au umemfokea yeye atabasamu na acheke tu

Na ikitokea kipindi anakuwa kinyume na hivyo basi tayari anaanza kuonekana mjeuri na kiburi kwamba analeta dharau na kejeli hivyo hafai kuwa mke na anastahili kuchezewa

Ila mwanaume hata akiwa malaya, mkorofi, mnyanyasaji na asiyejali haina shida na mwanamke anatakiwa amvumilie tu maana yeye ni mwanaume na yuko tofauti na mwanamke, ndicho wanaume wengi wa kibongo mnachokitaka kwenye uchumba na ndoa hicho
ndo maana nakwambia huelewi mind ya mwanaume inavofanya kazi
 
Kwani ni wanawake wangapi wanaendeshwa ki-hitler na bado wana mazoea na dharau kwa waume zao na ni wanawake wangapi wanaendeshwa kidemokrasia na bado wana mapenzi na heshima kwa waume zako? Kaa ukijua unavyompiga au kumnyanyasa mkeo unamuwekea vinyongo moyoni

Usidhani yeye ni Mungu kwamba atasamehe kila unalomfanyia bila kukufanya chochote kwanza hata Mungu mwenyewe kuna dhambi huwa anazitolea adhabu ndipo anasamehe sasa itakuwaje kwa mwanamke yaani eti unamfanyia hayo yote halafu unamuona anaendelea kukutabasamia na kukuchekea? Lazima ujiulize!
Tukiwalegezea mnaleta mazoea na dharau
 
Sasa unataka nikuamini wewe mmoja unayepinga hayo tena kwa maneno tu wakati mimi hayo niliyoyaandika nimeshayashuhudia kwa wanaume wengi tena kwa vitendo? Yaani wanaume huwa hamkubali tuwaambie ukweli ila matendo yenu huwa yanathibitisha kila kitu!
ndo maana nakwambia huelewi mind ya mwanaume inavofanya kazi
 
Mleta uzi, umesahau ku acknowledge ulikotoa hayo madini.
 
Back
Top Bottom