Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Mtoto haheshimiwi na mzazi zaidi anapendwa na kuonewa huruma bhana..Heshima na woga nisawa? Wewe unaweza kuwa unawaheshimu watoto wako lakini huwaogopi. Unaweza kumheshimu mke wako lakini kimsingi humuogopi
Wanawake Huwa haweleweki Ivo ili Wanaume na sisi tu take Lead hatupaswi Kueleweka kabisa for that reason Kuna namna jamaa ameongea fact sana apo Juu, Toughness yetu itakufanya ujifeel you are a lady na hapo ndio Heshima hutamalakiMwanamke kama anakupenda atakutii na sio kukuogopa...
Bwana mdogo naona hatuelewani , unajua maana ya heshima?Mtoto haheshimiwi na mzazi zaidi anapendwa na kuonewa huruma bhana..
Tafuta kichaka kingine ujifiche na niko na wewe mpaka ufute kauli..
Hapa ni hoja kwa hoja..
Nishakwambia tafuta hoja hata kwa jirani,, Kuita watu wazima bwana mdogo hakutufanyi tuamini pumba unazoandika hapa.. Heshima inajulikana sanaBwana mdogo naona hatuelewani , unajua maana ya heshima?
Nishakwambia tafuta hoja hata kwa jirani,, Kuita watu wazima bwana mdogo hakutufanyi tuamini pumba unazoandika hapa.. Heshima inajulikana sana
Usiulize kama tunajua heshima ni nini..
Jenga hoja kuwa heshima unaipataje??
Au unadhani heshima unapewa tu from nowhere? Growup nigga..
Kama kitu hukijui bakia kimya kuliko kuja hadharani na kuthibitisha kabisa kuwa umekua mwili halafu akili ikadumaa.. sorry for any offense..
Mkuu umepuyanga sana nikwambie tu hivyo!! Thamani ni thamani na heshima ni heshima vinaweza kuingiliana katika muktadha fulani lakini haifanyi viwe kitu kimoja..wewe bwana mdogo huenda hujui maana ya heshima. Heshima hutokana na kitenzi heshimu yenye maana ya thamini,, hivyo kuheshimu nikukipa kitu thamani yake hata watoto wanaheshimu,, kutomtukana mtoto au kuvua nguo mbele yake nikumeshimu . Japo hawezi kukufanya chochote kama hutofanya hivyo. Hivyo heshima na woga ni vitu viwili tofauti sasa utakuta bwana mdogo kama wewe umeshiba makande ya shemeji na dada yako unakuja kubishana mambo usiyo yaelewa
Nipo nasoma comments tuNi ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse.
Am talking about the respect that stems from knowing you are a man of strength, principle and authority. Without that dynamic modern women will test your limits, disrespect you and challenge your position at every opportunity.
Wanawake wa kisasa wengi hawawaheshimu wanaume walionao. Wanaona wema na sacrifices za mwanaume ni udhaifu sio uimara na kuwapa wanaume kama hao majina ya dhihaka mfano danga, msukuma wangu n.k.
Kama unampa kipaumbele, una-sacrifice furaha yako kwa ajiri yake, unafuata kila anachosema hata kama kinaingiliana na bajeti, msimamo au ratiba zako, atakuona wewe ni dhaifu na hapo ndipo nae ataanza kupigania madaraka kwenye hayo mahusiano kwa sababu katika macho yake wewe haukidhi vigezo vya kuwa kiongozi.
Wanawake wa kisasa wamepumbazwa kwamba traditional male leadership ni utumwa, kwaiyo wanataka ku-control mahusiano hapo hapo wanataka mwanaume utimize wajibu wako wa kama provider, protector na problem solver. Kinachosikitisha wapo wanaume wengi wamekubaliana na huu upuuzi na kuishia kudharaulika kwenye mahusiano yao.
Imagine you embody authority, decisiveness and unshakable principles. You set boundaries, enforce them and refuse to tolerate disrespect. Suddenly her behaviour changes because she knows there are consequences to stepping out of the line. Women crave strong leadership even if their modern ideologies tell them otherwise.
Ukweli wa mapenzi na heshimu ni kwamba: mwanamke hakupendi kwa wema na sacrifices zako kwake. Anakupenda kwa uimara wako na uwezo wa kuongoza.
Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,
You should value her because she is the kind of woman who will make a home. She is not there to compete with you, she knows her strength lies in complementing your role not challenging it.
Kijana achana na wanawake wapigania madaraka. Be the man she respects, not the one she manipulates. Na kama hawezi kunyooka pamoja na uimara wako basi achana nae. Unastahili amani na heshima.
That's masculinity, that's leadership, that's what you were born for.
Mume BwegeMsukuma wangu what does it mean?!
Uyo jamaa anaongea sana nadharia wakati tunaongea uhalisia. Katika nadharia watu wanataka kujifanya wastaarabu au wana demokrasia ndizo izo blah blah anazoziongea jamaa, lakini katika uhalisia bila kuweka rules and standards na ku-enforce zifuatwe kila mtu atakuchukulia poa. Nice men get used, ruthless men get respected.Mkuu umepuyanga sana nikwambie tu hivyo!! Thamani ni thamani na heshima ni heshima vinaweza kuingiliana katika muktadha fulani lakini haifanyi viwe kitu kimoja..
Heshima ndani ya familia haiwezi kuletwa kwa kukaa tu labda uniambie ni nini kinafanyika mpaka mwanamke anamheshimu mume wake?
Uko sahihi kabisa. Mjadala huu unatoa angalizo kwamba pale ikitokea kwa bahati nzuri ukaona mazingira yako hayakulazimshi sana kuweka sheria, ni bora ukaacha.Kwa namna zote mbili kuweka sheria ni mbinu bora zaidi kuleta utii kuliko kuacha kila mtu afanye vile anavyotaka
Mwanamke anamuheshimu yule anayeweza kumfanya awe tegemezi huku akimpatia mahitaji yake kwa fomula isiyoeleweka .Ni ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse.
Am talking about the respect that stems from knowing you are a man of strength, principle and authority. Without that dynamic modern women will test your limits, disrespect you and challenge your position at every opportunity.
Wanawake wa kisasa wengi hawawaheshimu wanaume walionao. Wanaona wema na sacrifices za mwanaume ni udhaifu sio uimara na kuwapa wanaume kama hao majina ya dhihaka mfano danga, msukuma wangu n.k.
Kama unampa kipaumbele, una-sacrifice furaha yako kwa ajiri yake, unafuata kila anachosema hata kama kinaingiliana na bajeti, msimamo au ratiba zako, atakuona wewe ni dhaifu na hapo ndipo nae ataanza kupigania madaraka kwenye hayo mahusiano kwa sababu katika macho yake wewe haukidhi vigezo vya kuwa kiongozi.
Wanawake wa kisasa wamepumbazwa kwamba traditional male leadership ni utumwa, kwaiyo wanataka ku-control mahusiano hapo hapo wanataka mwanaume utimize wajibu wako wa kama provider, protector na problem solver. Kinachosikitisha wapo wanaume wengi wamekubaliana na huu upuuzi na kuishia kudharaulika kwenye mahusiano yao.
Imagine you embody authority, decisiveness and unshakable principles. You set boundaries, enforce them and refuse to tolerate disrespect. Suddenly her behaviour changes because she knows there are consequences to stepping out of the line. Women crave strong leadership even if their modern ideologies tell them otherwise.
Ukweli wa mapenzi na heshimu ni kwamba: mwanamke hakupendi kwa wema na sacrifices zako kwake. Anakupenda kwa uimara wako na uwezo wa kuongoza.
Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,
You should value her because she is the kind of woman who will make a home. She is not there to compete with you, she knows her strength lies in complementing your role not challenging it.
Kijana achana na wanawake wapigania madaraka. Be the man she respects, not the one she manipulates. Na kama hawezi kunyooka pamoja na uimara wako basi achana nae. Unastahili amani na heshima.
That's masculinity, that's leadership, that's what you were born for.
Kuweka taratibu na miongozo sio lazima mpaka hatari itokee. Katika huo mfano wako hakuna guarantee kwamba uyo jamaa asingeweka latazo kwenye bustani yake basi watoto wasingealibu maua milele.Uko sahihi kabisa. Mjadala huu unatoa angalizo kwamba pale ikitokea kwa bahti nzuri ukaona mazingira yako hayakulazimshi sana kuweka sheria, ni bora ukaacha.
Kwa mfano, mwenye nyumba aliyekuwa amepanda maua mazuri kando kando ya nyumba yake, hakuwa analazimika kuweka sheria ya kuwazuia watoto wasichezee maua kwa sababu walikuwa hawajawahi kuyachezea
Vijana wanapoteza muda kwenye mambo yasiyokua na maana. Mtu anatumia masaa mawili kuangalia movie netflix lakini ikimwambia atenge nusu saa tu kuangalia video ya kujifunza ujuzi mpya youtube mfano kutengeneza viatu atakwambia hana mudaNinaunga mkono hoja mia kwa mia. Hayo aliyoyasema mjumbe yatawezekana na utimamu wa mwili wa mwanaume, mwanaume haufanyi mazoezi hauna masculinity, kitandani unapiga kagoli kamoja dakika sifuri. Huwezi kupata hiyo Heshima.
Mwanaume imara fanya mazoezi uwe imara kimwili na kiafya, mwanoume wekeza kwenye personal development soma vitabu vya maarifa uongeze maarifa. Angalia taarifa za habari Al Jazeera, SABC and the like, sawa weka muda wa kuangalia mipira na muziki.
Mi nadhani hawa watu wanataka kugain milleage ambayo hawana hapa jamvini wakidhani kupitia blah blah zao watatrape pisi za humu ziende PM.Uyo jamaa anaongea sana nadharia wakati tunaongea uhalisia. Katika nadharia watu wanataka kujifanya wastaarabu au wana demokrasia ndizo izo blah blah anazoziongea jamaa, lakini katika uhalisia bila kuweka rules and standards na ku-enforce zifuatwe kila mtu atakuchukulia poa. Nice men get used, ruthless men get respected.
KATIKA HALI YA KAWAIDA, heshima NDIYO inayotakiwa izae AU isizae uoga na si uoga kuzaa heshimaKuweka taratibu na miongozo sio lazima mpaka hatari itokee. Katika huo mfano wako hakuna guarantee kwamba uyo jamaa asingeweka latazo kwenye bustani yake basi watoto wasingealibu maua milele.
Mfano cheating, mimi nishamwambia wife ikitokea nimegundua kanicheat tunaachana hapo hapo sitajali chochote sitasikiliza ushauri wa yoyote. Kwaiyo akiamua kukitombesha sawa ni mwili wake ana uhuru wa kuhutumia atakavyo lakini consequences anazijua. Siwezi kukusubiri mpaka anicheat ndio nimpe onyo
Diplos at your best,,KATIKA HALI YA KAWAIDA, heshima NDIYO inayotakiwa izae AU isizae uoga na si uoga kuzaa heshima
NI katika HALI isiyo ya KAWAIDA TU NDIYO PALE uoga HUWA unalazimika kuzaa heshima na HII HUWA inachangiwa KWA KIASI kikubwa sana na MHESHIMIWA mwenyewe
Heshima YA uoga NI unafiki MMOJA mbaya sana KATIKA MAISHA ya mwanadamu.
Kwa mfano, ikitokea mimi nikagundua kuwa mtu ana heshima YA woga kwangu, nitamrekebisha na asiporekebishika, hatuwezi kuelewana tena