Mwanamke hawezi kukuheshimu kama hakuogopi

Mwanamke hawezi kukuheshimu kama hakuogopi

Ni ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse.

Am talking about the respect that stems from knowing you are a man of strength, principle and authority. Without that dynamic modern women will test your limits, disrespect you and challenge your position at every opportunity.

Wanawake wa kisasa wengi hawawaheshimu wanaume walionao. Wanaona wema na sacrifices za mwanaume ni udhaifu sio uimara na kuwapa wanaume kama hao majina ya dhihaka mfano danga, msukuma wangu n.k.

Kama unampa kipaumbele, una-sacrifice furaha yako kwa ajiri yake, unafuata kila anachosema hata kama kinaingiliana na bajeti, msimamo au ratiba zako, atakuona wewe ni dhaifu na hapo ndipo nae ataanza kupigania madaraka kwenye hayo mahusiano kwa sababu katika macho yake wewe haukidhi vigezo vya kuwa kiongozi.

Wanawake wa kisasa wamepumbazwa kwamba traditional male leadership ni utumwa, kwaiyo wanataka ku-control mahusiano hapo hapo wanataka mwanaume utimize wajibu wako wa kama provider, protector na problem solver. Kinachosikitisha wapo wanaume wengi wamekubaliana na huu upuuzi na kuishia kudharaulika kwenye mahusiano yao.

Imagine you embody authority, decisiveness and unshakable principles. You set boundaries, enforce them and refuse to tolerate disrespect. Suddenly her behaviour changes because she knows there are consequences to stepping out of the line. Women crave strong leadership even if their modern ideologies tell them otherwise.

Ukweli wa mapenzi na heshimu ni kwamba: mwanamke hakupendi kwa wema na sacrifices zako kwake. Anakupenda kwa uimara wako na uwezo wa kuongoza.

Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,

You should value her because she is the kind of woman who will make a home. She is not there to compete with you, she knows her strength lies in complementing your role not challenging it.

Kijana achana na wanawake wapigania madaraka. Be the man she respects, not the one she manipulates. Na kama hawezi kunyooka pamoja na uimara wako basi achana nae. Unastahili amani na heshima.

That's masculinity, that's leadership, that's what you were born for.
HIYO SASA INAKUWA nidhamu YA woga. Kinyume Chake NDIYO sahihi KWAMBA MKE HAWEZI kukuogopa KAMA anakuheshimu.

JITAHIDI ufanye bidii ya kuheshimiwa na si kuogopwa KWA SABABU kuogopwa KUNA madhara YAKE.

Still BORA mke mwenye nidhamu ya woga KULIKO ASIYEKUWA na nidhamu
 
Ni ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse.

Am talking about the respect that stems from knowing you are a man of strength, principle and authority. Without that dynamic modern women will test your limits, disrespect you and challenge your position at every opportunity.

Wanawake wa kisasa wengi hawawaheshimu wanaume walionao. Wanaona wema na sacrifices za mwanaume ni udhaifu sio uimara na kuwapa wanaume kama hao majina ya dhihaka mfano danga, msukuma wangu n.k.

Kama unampa kipaumbele, una-sacrifice furaha yako kwa ajiri yake, unafuata kila anachosema hata kama kinaingiliana na bajeti, msimamo au ratiba zako, atakuona wewe ni dhaifu na hapo ndipo nae ataanza kupigania madaraka kwenye hayo mahusiano kwa sababu katika macho yake wewe haukidhi vigezo vya kuwa kiongozi.

Wanawake wa kisasa wamepumbazwa kwamba traditional male leadership ni utumwa, kwaiyo wanataka ku-control mahusiano hapo hapo wanataka mwanaume utimize wajibu wako wa kama provider, protector na problem solver. Kinachosikitisha wapo wanaume wengi wamekubaliana na huu upuuzi na kuishia kudharaulika kwenye mahusiano yao.

Imagine you embody authority, decisiveness and unshakable principles. You set boundaries, enforce them and refuse to tolerate disrespect. Suddenly her behaviour changes because she knows there are consequences to stepping out of the line. Women crave strong leadership even if their modern ideologies tell them otherwise.

Ukweli wa mapenzi na heshimu ni kwamba: mwanamke hakupendi kwa wema na sacrifices zako kwake. Anakupenda kwa uimara wako na uwezo wa kuongoza.

Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,

You should value her because she is the kind of woman who will make a home. She is not there to compete with you, she knows her strength lies in complementing your role not challenging it.

Kijana achana na wanawake wapigania madaraka. Be the man she respects, not the one she manipulates. Na kama hawezi kunyooka pamoja na uimara wako basi achana nae. Unastahili amani na heshima.

That's masculinity, that's leadership, that's what you were born for.
Truth
 
HIYO SASA INAKUWA nidhamu YA woga. Kinyume Chake NDIYO sahihi KWAMBA MKE HAWEZI kukuogopa KAMA anakuheshimu.

JITAHIDI ufanye bidii ya kuheshimiwa na si kuogopwa KWA SABABU kuogopwa KUNA madhara YAKE.

Still BORA mke mwenye nidhamu ya woga KULIKO ASIYEKUWA na nidhamu
Umeongea nadharia zaidi kuliko uhalisia. Uoga ni factor kubwa sana inayoleta heshima, na ninachokiongelea hapa sio uwe mkali au mnyanyasaji. Naongelea uwezo wa kuweka sheria na miongozo na kuakikisha inafuatwa.

Kwanini watu wanamtii na kumuheshimu Mungu? kwa sababu ya nguvu yake tulioambiwa anao na hukumu anayoitoa kwa ambao hawafuqti muongozo wake ambapo tumeambiwa kuna tanuli moto anawatumbukiza.

Chukulia mfano mafundisho yangetuambia Mungu ni mpenda demokrasia, karuhusu binadamu wafanye chochote wanachotaka na hatomuwajibisha yoyote kwa matendo yake. Unafikiri Mungu angeheshimika kama ilivyo?
 
Umeongea nadharia zaidi kuliko uhalisia. Uoga ni factor kubwa sana inayoleta heshima, na ninachokiongelea hapa sio uwe mkali au mnyanyasaji. Naongelea uwezo wa kuweka sheria na miongozo na kuakikisha inafuatwa.

Kwanini watu wanamtii na kumuheshimu Mungu? kwa sababu ya nguvu yake tulioambiwa anao na hukumu anayoitoa kwa ambao hawafuqti muongozo wake ambapo tumeambiwa kuna tanuli moto anawatumbukiza.

Chukulia mfano mafundisho yangetuambia Mungu ni mpenda demokrasia, karuhusu binadamu wafanye chochote wanachotaka na hatomuwajibisha yoyote kwa matendo yake. Unafikiri Mungu angeheshimika kama ilivyo?
Unajua kilichopelekea Adam na Hawa wakamkosea Mungu? Ilikuwa ni baada ya kuwa amewawekea sheria.
 
Sheria ndio zinawekwa kupandikiza uoga ili watu wawe na nidhamu, ndio maana kunakua na adhabu endapo ukivunja sheria.
NI kweli ila pia kwa upande mwingine sheria huwa zinaweka limitations. Ukishamuwekea mtu limitations, unamu-prompt kuzivuka hizo limits. Usipomuwekea, anaweza hata asiwe na wazo hilo

Mfano watoto waliokuwa wanapita kila siku jirani na nyumba iliyokuwa imepandwa maua mazuri wakiwa wanaenda shuleni, waliendelea kupita hapo kwa siku nyingi pasipo kuyachezea maua hayo

Baadaye mwenye nyumba alipata wazo kuwa ipo siku watoto hao watakija kuyachezea maua na akaamua kuweka tangazo llinaloagiza wasiyachezee maua.

Siku hiyo aliyoweka tangazo hilo ndiyo siku ya kwanza ambayo watoto hao walivchezea mua yake
 
NI kweli ila pia kwa upande mwingine sheria huwa zinaweka limitations. Ukishamuwekea mtu limitations, unamu-prompt kuzivuka hizo limits. Usipomuwekea, anaweza hata asiwe na wazo hilo

Mfano watoto waliokuwa wanapita kila siku jirani na nyumba iliyokuwa imepandwa maua mazuri wakiwa wanaenda shuleni, waliendelea kupita hapo kwa siku nyingi pasipo kuyachezea maua hayo

Baadaye mwenye nyumba alipata wazo kuwa ipo siku watoto hao watakija kuyachezea maua na akaamua kuweka tangazo llinaloagiza wasiyachezee maua.

Siku hiyo aliyoweka tangazo hilo ndiyo siku ya kwanza ambayo watoto hao walivchezea mua yake
Kwa namna zote mbili kuweka sheria ni mbinu bora zaidi kuleta utii kuliko kuacha kila mtu afanye vile anavyotaka
 
NI kweli ila pia kwa upande mwingine sheria huwa zinaweka limitations. Ukishamuwekea mtu limitations, unamu-prompt kuzivuka hizo limits. Usipomuwekea, anaweza hata asiwe na wazo hilo

Mfano watoto waliokuwa wanapita kila siku jirani na nyumba iliyokuwa imepandwa maua mazuri wakiwa wanaenda shuleni, waliendelea kupita hapo kwa siku nyingi pasipo kuyachezea maua hayo

Baadaye mwenye nyumba alipata wazo kuwa ipo siku watoto hao watakija kuyachezea maua na akaamua kuweka tangazo llinaloagiza wasiyachezee maua.

Siku hiyo aliyoweka tangazo hilo ndiyo siku ya kwanza ambayo watoto hao walivchezea mua yake
Mkuu kuna limitations na boundaries, ukimlimit mwanamke unakosea ila ukiweka mipaka ni sahihi kabisa na anatakiwa aiheshimu
 
Watoto wa 2000 haya mambo ni magumu kidogo kueleweka kwenu kwa sababu mmekulia katika ulimwengu ambao tayari upo corrupted na feminism.

Your brains have been programmed that to be a real man/gentleman you must lower your standard and accept woman's rebellious, disrespects and reckless life

Kaka zenu tupo hapa tutawaelewesha hivyo hivyo taratibu kwa sababu tunajua umuhimu wa jamii yenye wanaume imara.
Hutu tulamba lips, tuzee twa kuna mchongo nausikilizia bila kusahau wale wa shem mtu poa sana hatuwezi kuelewa chochote tuvipatie muda kidogo kama miaka kumi then vitakuja kuomba ushauri hapa vikiwa vimeshikilia boxa mkononi vikiwa vimekosa hata pa kubadilishìa maana wanawake wamewatimua kisa havilipi kodi..

Vitoto hivi ndivyo vinamendea wake za watu huku wenye mali wakiwa kwenye majukumu ya kusaka ugali
Vinawaza kulelewa vimethrow in the towel mapema sana..
Ukiviangalia bado ni vidogo lakini akili zao zimekata tamaa mapema..
Vinasema kazi ngumu haviwezi kuna mada nyingi naziona hapa vikiwa vinasema hata ukonda ni kazi ngumu nashangaa sana yaani..

Sasa vijana kama hao wataweza kumhandle mwanamke kweli?
Hao wanabaki kama fisi yaani wanavizia dead balls..ili wajisifu kuwa wanapendwa
Wakiachiwa hao wanawake jumla wanakuja humu kuomba ushauri kuwa wafanye nini ili Mzinzi mwenzake arudi kwa mumewe yaani inachekesha na kusikitisha kwa wakati mmoja..
 
Ukiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
Acha kuruka ruka hapa kwahiyo machinga wanashindwa nini kwenda kupanga vibanda mle Lugalo? Kama sio kuogopa? Heshima ya kweli ni ile inayojengwa kutokana na woga fullstop..
Usipake rangi sana kama wewe ni mkubwa sana kiumri basi itoshe kusema kuwa hata magoigoi huzeeka pia..

Huwezi kuheshimiwa kama huogopwi usitafute kujua chanzo cha heshima hiyo ila elewa kuwa heshima inatakiwa iwepo iwe kwa nguvu au mtutu..
Nikuulize swali mkuu
Unadhani ikiwa imebainika wazi kuwa una genge hatari la kimafia kuna mtu atacheza mbele yako kwa dharau??
Jibu ni hapana maana anajua kuwa akileta ujuaji kinachofuata ni kuzikwa so utaheshimika tu sasa haijalishi hiyo heshima imetokana na hofu ya watu juu yako but kinachotakiwa heshima iwepo tu basi sasa kuanza kuchunguza kuwa ipo kwaajili ya hofu sidhani kama inamakr sense bali ni wewe unaona hauko that strong kuconqure so unajificha kuwa mtu akupe heshima bila catalyst yoyote kiaje sasa yaani mwanamke aamke tu akupe heshima bila wewe kuset standards? Unapotea amka usingizini mzee..
Na kuwa mkubwa kiumri haimaanishi kuwa tukusikilize sana maana unaweza kuongea pumba ukidhani kisa umri basi haitajulikana kuwa ni pumba.. Pumba ni pumba itoke kwa mkubwa ama mtoto.
 
Ukiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
Halafu mkuu nilitegemea uielezee hiyo namna yake..sio kuishia kusema, halafu huwezi kuelezea ni namna gani mtu utapewa heshima.
 
Acha kuruka ruka hapa kwahiyo machinga wanashindwa nini kwenda kupanga vibanda mle Lugalo? Kama sio kuogopa? Heshima ya kweli ni ile inayojengwa kutokana na woga fullstop..
Usipake rangi sana kama wewe ni mkubwa sana kiumri basi itoshe kusema kuwa hata magoigoi huzeeka pia..

Huwezi kuheshimiwa kama huogopwi usitafute kujua chanzo cha heshima hiyo ila elewa kuwa heshima inatakiwa iwepo iwe kwa nguvu au mtutu..
Nikuulize swali mkuu
Unadhani ikiwa imebainika wazi kuwa una genge hatari la kimafia kuna mtu atacheza mbele yako kwa dharau??
Jibu ni hapana maana anajua kuwa akileta ujuaji kinachofuata ni kuzikwa so utaheshimika tu sasa haijalishi hiyo heshima imetokana na hofu ya watu juu yako but kinachotakiwa heshima iwepo tu basi sasa kuanza kuchunguza kuwa ipo kwaajili ya hofu sidhani kama inamakr sense bali ni wewe unaona hauko that strong kuconqure so unajificha kuwa mtu akupe heshima bila catalyst yoyote kiaje sasa yaani mwanamke aamke tu akupe heshima bila wewe kuset standards? Unapotea amka usingizini mzee..
Na kuwa mkubwa kiumri haimaanishi kuwa tukusikilize sana maana unaweza kuongea pumba ukidhani kisa umri basi haitajulikana kuwa ni pumba.. Pumba ni pumba itoke kwa mkubwa ama mtoto.
Heshima na woga nisawa? Wewe unaweza kuwa unawaheshimu watoto wako lakini huwaogopi. Unaweza kumheshimu mke wako lakini kimsingi humuogopi
 
Back
Top Bottom