Mwanamke hawezi kukuheshimu kama hakuogopi

Mwanamke hawezi kukuheshimu kama hakuogopi

And don't forget, she has to go on her knees for BJ.

I was getting some ....


View: https://www.youtube.com/watch?v=F1pwGVfV8S4



You know the kid pimping all over the world
A hundred carats got me all over your girl
YEAH, five freaks and my Gucci duffle bag
A corporate thug, I run with a Playaz Circle
I got a Field Mob that'll +Disturb+ your +Peace+
Blowing Sean Jay, all we do is smoke
Finish counting my bread and I was getting some head.
 
Vilevile zingatia sana, utakapompata mwanamke mtiifu, anakuheshimu na kukubaliana na uongozi wako bila ya yeye kutaka kupigania madaraka- basi umeokota dhahabu, nyakati tunazoishi wanawake wa hivyo wapo wachache sana,
Ukweli mtupu. Bado kuna wanawake wacha Mungu, wenye sifa za kuwa wake wema kabisa. Mungu awalinde na kuwatunza popote walipo.
 
Mkuu Kidagaa kimemwozea kama huu uzi hujauelewa basi leo nakutunuku tuzo ya uanauke.
Ukiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
 
Ukiona mtu anakuheshimu kwasabau ya woga ni unafiki. Shule tulikuwa tukiita nidhamu ya Woga. Heshima inayotengenezwa na hofu ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Heshima ya.kweli inategemea na hadhi ya mtu cheo chake na uhusiano bora kati yake na wengine . Ukiwa na akili ndogo utaona huyu bwana mdogo kaandika kitu cha maana kumbe ni upuuzi tu. Kulazimisha mtu akuheshimu kwasababu anakuogopa ni udhaifu mkubwa. Heshma humfuata mtu automatic kutegemeana na namna yake
Heshima inatafutwa, haupewi! Keep simpin bro
 
Back
Top Bottom