Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaagh! Endelea na msimamo wako bhana! Kuna wanawake wengine vimeo sana,wapo kwa ajili ya kuharibu maisha ya wanaume.huo mnyororo wa × na marafiki wa × ukate fasta.Mkuu nili sacrifice pesa nikiwa najuwa napata njia ya kusolve tatizo langu maana nimepoteza gari langu kwa ajiri ya X na X ni rafiki yake na huyu demu. Mbaya zaidi nikiwa mtungi sinaga hamu na wanawake
Ahsante mkuu wangu. Kuna watu wananiona Mimi zoba lakini hajawakuta, nimezaliwa miaka ya 1980 nimepitia mengi wakiwemo hawa wanawake!Aaaagh! Endelea na msimamo wako bhana! Kuna wanawake wengine vimeo sana,wapo kwa ajili ya kuharibu maisha ya wanaume.huo mnyororo wa × na marafiki wa × ukate fasta.
Waepuke woote ambao wanahusika na ex wako. Nilipitia changamoto kama yako. Nilikua daily najiassociate na family ya ex na huku nataka kumove on. Ilikua ngumu sana. Siku nimekata mawasiliano tu maisha yakawa mazuri sana. Nilijipongeza kwa kitimoto safi na fresh juice tamuu[emoji28][emoji28] mbaya sana kuassociate nao hao watuUmeongea vizuri sana Pendo kwa kweli asubuhi yake nilijipongeza kwa kujipiga kifua. Hali sio poa.
Kweli kabisa momy! Sema nahitaji kujuwa mbona baadhi yenu huwa hamuishi visasi ?Waepuke woote ambao wanahusika na ex wako. Nilipitia changamoto kama yako. Nilikua daily najiassociate na family ya ex na huku nataka kumove on. Ilikua ngumu sana. Siku nimekata mawasiliano tu maisha yakawa mazuri sana. Nilijipongeza kwa kitimoto safi na fresh juice tamuu[emoji28][emoji28] mbaya sana kuassociate nao hao watu
Pigia mstariInawezekana
Ngono ni gharama SanaAhsante mkuu wangu. Kuna watu wananiona Mimi zoba lakini hajawakuta, nimezaliwa miaka ya 1980 nimepitia mengi wakiwemo hawa wanawake!
Angekuachia laana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijakuelewa mkuu
Mkuu nili sacrifice pesa nikiwa najuwa napata njia ya kusolve tatizo langu maana nimepoteza gari langu kwa ajiri ya X na X ni rafiki yake na huyu demu. Mbaya zaidi nikiwa mtungi sinaga hamu na wanawake
Waalaa. Ni mtu na mtu tuu. Kunjua nafsi yakoKweli kabisa momy! Sema nahitaji kujuwa mbona baadhi yenu huwa hamuishi visasi ?