Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

Allooo!!! mimi huwa sielewi Omar hana inshu ya maana anayofanya ila mara yupo Dubai, mara London, mara kaenda Manchester kumbe mwenzetu anafokolewa na Waarabu...!!!

Aiseeeeh!! Haya maisha ya mjini hapa acha nibaki Mbekenyera niendelee kulima ufuta tu.
Hamna bwana, jamaa ana mishe zake tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.

Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]

Daaahhh hii issue nakumbuka ilikuwa 2018 au 2019 niliisikia maana kuna jamaa yangu mmoja alikuwa ana urafiki na yule ex wake aliyekuwa miss singida.
Inasemekana alizifuma text na ndio chanzo cha mahusiano yao kufa.

Sikuwahi kuongelea popote maana sikuwahi kuamini lakini pia huwa naogopa sana kutoa aibu za watu nje
 
Allooo!!! mimi huwa sielewi Omar hana inshu ya maana anayofanya ila mara yupo Dubai, mara London, mara kaenda Manchester kumbe mwenzetu anafokolewa na Waarabu...!!!

Aiseeeeh!! Haya maisha ya mjini hapa acha nibaki Mbekenyera niendelee kulima ufuta tu.
We lima tyuuh ufuta, wenzio wanatumia fursa walichopewa buree na wazazi wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaahhh hii issue nakumbuka ilikuwa 2018 au 2019 niliisikia maana kuna jamaa yangu mmoja alikuwa ana urafiki na yule ex wake aliyekuwa miss singida.
Inasemekana alizifuma text na ndio chanzo cha mahusiano yao kufa.

Sikuwahi kuongelea popote maana sikuwahi kuamini lakini pia huwa naogopa sana kutoa aibu za watu nje
Hii ilikua 2020,
Tuwasitirii tyuuh.
 
Back
Top Bottom