[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas full tafrani, ila sope na dimp walichomfanyia kabwilii bas tyuuhAh jamani tulipofikia ni kubaya sasa! Sasa kabaki nani? Maana semaji kikomazi nae tunaambiwa ndio haohao!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann sasa jamanii??Mimi nikisikia/kujua unafanya hayo mambo chakula chako sili!
Hamna bwana, jamaa ana mishe zake tu.Allooo!!! mimi huwa sielewi Omar hana inshu ya maana anayofanya ila mara yupo Dubai, mara London, mara kaenda Manchester kumbe mwenzetu anafokolewa na Waarabu...!!!
Aiseeeeh!! Haya maisha ya mjini hapa acha nibaki Mbekenyera niendelee kulima ufuta tu.
Yanga bingwa?Sope ndo bwana ake boss.
Aliliwa na kijana wa chuo, mwenyewe text kuziona, na alimpa 200k.code nilikosea kuifungua ila sasa nimejua kuwa coca alimaanisha har...s k..p..ga huyu ni kweli kwenye hizo issue....
Sasa eng si wa kamwe, na cm alimuhonga IPHONE, uliputwa wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msije tu mkasema na Eng. Hersi eti nae ni dimpoz.. Wengine kwetu huyu mwamba ni 'masia'!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hao MCs mbna karibia wote ni ngapulila, nilichoka kwa huyu MC na mwenye kanisa, wakati naambiwa habari zake nlikua siamini, maana akianza kumpamba mkewe na familia yake utasema baba bora.
Si alikuja kujichanganya kwa kijana wa chuo, lahaulaa yaan baba anatuma text kwa kumsifia kijana kuwa kamkaza vzuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Convo ilianza insta had tsup, kuzisoma mie hoii, afu anasisitiza awe msiri, alimpa 200k, walienda fanyia huko bagamoyo, inasemekana ana kapagale ka kufanyia ufuska wake.
[emoji119][emoji119]
Huyo ana kashfa nyingi sana za kubembeleza apelekewe moto na linabembeleza hilo dah likimkubali mtu halinaga aibu kuomba ukuni yaan dah halina hata stara kwa mkewe na watoto wake.Huyo jamaa hata kama huelewi huwezi kukataa, amejiweka dhahiri mno!
We lima tyuuh ufuta, wenzio wanatumia fursa walichopewa buree na wazazi wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Allooo!!! mimi huwa sielewi Omar hana inshu ya maana anayofanya ila mara yupo Dubai, mara London, mara kaenda Manchester kumbe mwenzetu anafokolewa na Waarabu...!!!
Aiseeeeh!! Haya maisha ya mjini hapa acha nibaki Mbekenyera niendelee kulima ufuta tu.
Motoni mtageuka πππ ila nifah umelifufua hili jukwaa na wadau wengine walipotokea haifahamiki. Itabidi page za insta ziwe zinachukua humu ubuyu πTunampokea mtoto Yesu kwa ubuyu π π
Sasa boss ana m1? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha masikhara! Wakati Boss nae anamfanyizia yule Mange aliyetuambia ni Mrs. Yanga?
La zaman yaan mnr wa zaiSemaji jipya au la zamani?
Ila wadau nao wamezidi, wanadai hadi semaji la Makolo, Dah!
Hiyo ya Kabwili niligoma kuangalia mpaka kesho! Niliapa sitokaa niangalie za hivyo, hata askari wa zenji pia chipo kidali π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bas full tafrani, ila sope na dimp walichomfanyia kabwilii bas tyuuh
Hii ilikua 2020,Daaahhh hii issue nakumbuka ilikuwa 2018 au 2019 niliisikia maana kuna jamaa yangu mmoja alikuwa ana urafiki na yule ex wake aliyekuwa miss singida.
Inasemekana alizifuma text na ndio chanzo cha mahusiano yao kufa.
Sikuwahi kuongelea popote maana sikuwahi kuamini lakini pia huwa naogopa sana kutoa aibu za watu nje